Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mweeeh!![emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Au unataka senene?
senene.jpg

DSCF7511.JPG
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuongee nini ma mkubwa
Unajua hiyo hali ndiyo inanifanya nakuwa na furaha muda mwingi
Nilifundishwa kuwa too much expectations leads to disappointments
Ni kweli kabisa.
Matarajio makubwa yanaleta maumivu tu.
Ni bora uwe hivyo kuliko kuamini sana watu.
Na mimi taratibu nataka nijifunze kuwa hivyo.
 
Ni kweli kabisa.
Matarajio makubwa yanaleta maumivu tu.
Ni bora uwe hivyo kuliko kuamini sana watu.
Na mimi taratibu nataka nijifunze kuwa hivyo.
Afadhali na wewe umenielewa

Kama unaweza kuwa hivyo nakushauri we kuwa tu hivyo itakusaidia sana na kukufanya uwe na furaha muda mwingi

Kuna watu huwa tunajua kupenda ila hatujui kupendwa na hili ndiyo kwa asilimia kubwa linafanya wengine tuogope kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi

Kwa sababu mtu akijua unampenda kuliko yeye anavyokupenda atakunyanyasa hadi ujute na ndiyo chanzo cha mahusiano mengi kufa sasa ya nini yote hayo

Unajipa moyo kuwa unapendwa kumbe haupendwi halafu ukijua unaanza kuumia wakati ungelijua hilo mapema wala usingeumia

Moyo wa mtu kichaka
 
Back
Top Bottom