Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
.siyo yule mkubwa.. yule mwingine sasa




Yupi tena mie nina dada mmoja tu
.siyo yule mkubwa.. yule mwingine sasa




🙂🙂I'm glad to hear that Shimba maana na mie nilishaanza kupanick 🙃🙃Sikusoma vizuri maelekezo basi...papara tu...
Nimeshakamu dauni kompulitili...patiently waiting for the weekend![]()
🤣🤣🤣🤣 nikadhani mie jamani 😒😒
Oohh nilimaanisha Celine Dion maana kakonda duuh
Dah so sadnikadhani mie jamani
Kwa Celine lazima kuna tatizo. Hata kama sio anorexia, lazima atakuwa ana-suffer from some other psychological issues.
Tatizo maisha hayajuagi hilo masikini 😒Dah so sad
She was one of the greatest of all times
Tatizo vpnUliniahidi kuweka picha October 29
Imepita hujaweka..naomba uweke Leo.
Dah mate yamenitoka!
Umeshaipata sasaTatizo vpn
Nimeshaipata!Umeshaipata sasa
Nasubiri picha.
Wewe mpole mno mdogo wangu.. Shimba anakuchokoza tu
Kwahiyo unataka kusemaje dada?






Wa Bariadi huyu.. Ni tatizo.Sijui msukuma wa wapi huyu![]()
Eti na kenyewe kanajifanya kamechukia! Ungekuwa na uwezo huo wa kuchukia kiasi hiko basi!
![]()








Kwamba?? Au sijaelewa?Mimi sihitaji kupendwa!
Nina matatizo gani?![]()
Kule labda wale Kuku..Vingine uongo..Ndiyo bro. Kuna mtu anataka kupelekwa Nyakabindi fasta akachinjiwe dume la ng'ombe kabisa![]()