Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Alikuwa jirani yangu,tumekua wote,tumesoma wote ila yeye alikuwa mkubwa kwangu maana alirudia olevel.

Shule walijua sisi ni ndugu wa damu,
Chuo tulienda wote, wazazi wanajua tuna watoto ndugu wanasaidiana huko,mwaka wa kwanza,mwaka wa pili tumeishi poa tu.
Alikuja kuniporomoshea matusi kisa maandamano ya dada wa Taifa
Halafu ubaya wake alikuwa hakawii kulia ukijibu mapigo
😀😀 dah watu wana matumizi mabaya na hasira.. Ana akili ya kitoto
 
Tell a story
depositphotos_309379558-stock-illustration-moses-turn-staff-into-snake.jpg
 
Sema unaonekana una mwili mzuri. Kama zile picha zako za juzi beach ulizovaa kigauni ulionekana una kamwili kadogo.

NB: Kwangu mimi mwili mdogo ndiyo mzuri. Hata mimi huwa sijikubali sababu najiona mnene sana na natamani kuwa mwembamba.
Asante mwaya...sasa hivi niko kwenye "rait track" ila bado sijaridhika 100%

Kamwili kadogo kananoga bana....hata kwenye maswala ya nguo unakuwa na option zaidi. Hazikukatai na ukitoka watu hawakushangai 🙄🙄 Fanya mpango ufikie your ideal body size.💪💪
 
Badala ya kunipa pole
Ila hapa nyumbani walishaanza kunipeleka kijeshi,wanasema tukikuacha utakuja kufa njaa.
Sasa waniwekee chakula ole wangu nisile na mimi nilishawagundua ..nawatime kwenye kupakua.. nawahi ili nijiwekee kidogo nitakachomaliza.
Daah ningekuwa na mwili kama huo haki ningekuwa nakula hadi kufuru! Ila mimi unene ni asili tu ya kwetu hivyo huwa naambiwa hata nifanyaje sitakaa nipungue kama ninavyotaka bali nitapungua kidogo sana na huwa naambiwa hata nikitaka kupungua kama ninavyotaka mimi nitatisha sitapendeza!
 
Back
Top Bottom