Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Ambavyo amechangamka sasa?? Ila Msukuma huyuSio wewe, au umesahau wewe ni ndugu yetu wa kambo? Namtafutia msukuma asie furushi kama wewe.

Ambavyo amechangamka sasa?? Ila Msukuma huyuSio wewe, au umesahau wewe ni ndugu yetu wa kambo? Namtafutia msukuma asie furushi kama wewe.

😀😀 dah watu wana matumizi mabaya na hasira.. Ana akili ya kitoto
Alikuwa jirani yangu,tumekua wote,tumesoma wote ila yeye alikuwa mkubwa kwangu maana alirudia olevel.
Shule walijua sisi ni ndugu wa damu,
Chuo tulienda wote, wazazi wanajua tuna watoto ndugu wanasaidiana huko,mwaka wa kwanza,mwaka wa pili tumeishi poa tu.
Alikuja kuniporomoshea matusi kisa maandamano ya dada wa Taifa
Halafu ubaya wake alikuwa hakawii kulia ukijibu mapigo
Kuwa na huruma japo kidogo mamangu. Pulizi usimsikilize mpenda mafurushiAmbavyo amechangamka sasa?? Ila Msukuma huyu![]()
Comment reserved.. nitakujibu mahali.





kumbe!Mnodah watu wana matumizi mabaya na hasira.. Ana akili ya kitoto
One amongst the ten wondrously miracles Moses did before the departure of Israelites from Egypt to the promised Land Caanan.Tell a storyView attachment 1619570
Sijui msukuma wa wapi huyuAmbavyo amechangamka sasa?? Ila Msukuma huyu![]()



Asante mwaya...sasa hivi niko kwenye "rait track" ila bado sijaridhika 100%Sema unaonekana una mwili mzuri. Kama zile picha zako za juzi beach ulizovaa kigauni ulionekana una kamwili kadogo.
NB: Kwangu mimi mwili mdogo ndiyo mzuri. Hata mimi huwa sijikubali sababu najiona mnene sana na natamani kuwa mwembamba.
Niombe radhi haraka tafadhali.. nakuomba..
Mimi yule na ule Ushamba wake kweli??????










Mjali tu Shem.. nafurahi sana kuona hivyo.
Kila binadamu anahitaji kupenda na kupendwa.




Daah ningekuwa na mwili kama huo haki ningekuwa nakula hadi kufuru! Ila mimi unene ni asili tu ya kwetu hivyo huwa naambiwa hata nifanyaje sitakaa nipungue kama ninavyotaka bali nitapungua kidogo sana na huwa naambiwa hata nikitaka kupungua kama ninavyotaka mimi nitatisha sitapendeza!Badala ya kunipa pole
Ila hapa nyumbani walishaanza kunipeleka kijeshi,wanasema tukikuacha utakuja kufa njaa.
Sasa waniwekee chakula ole wangu nisile na mimi nilishawagundua ..nawatime kwenye kupakua.. nawahi ili nijiwekee kidogo nitakachomaliza.