Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,490
Mmhh siyo kwamba wanampenda jamaniHivi huoni machichiem yenyewe yanamchukia kwa approach zake, misimamo na ufanyaji wake wa kazi.
Mmhh siyo kwamba wanampenda jamaniHivi huoni machichiem yenyewe yanamchukia kwa approach zake, misimamo na ufanyaji wake wa kazi.
Do not leave him oooHapa namfikiria hajui tu![]()
Umeona enh! Kamwili kadogo ndiyo mpango mzima aisee mie lazima nifanye namna nipungue japo watu wananiambia nisipungue nitatisha!Asante mwaya...sasa hivi niko kwenye "rait track" ila bado sijaridhika 100%
Kamwili kadogo kananoga bana....hata kwenye maswala ya nguo unakuwa na option zaidi. Hazikukatai na ukitoka watu hawakushangaiFanya mpango ufikie your ideal body size.
![]()
Kuna yule dada yako unayemfata ana mwili mzuri Sana.Daah ningekuwa na mwili kama huo haki ningekuwa nakula hadi kufuru! Ila mimi unene ni asili tu ya kwetu hivyo huwa naambiwa hata nifanyaje sitakaa nipungue kama ninavyotaka bali nitapungua kidogo sana na huwa naambiwa hata nikitaka kupungua kama ninavyotaka mimi nitatisha sitapendeza!
Ndiyo bro. Kuna mtu anataka kupelekwa Nyakabindi fasta akachinjiwe dume la ng'ombe kabisa



Bible knowledge umeivaOne amongst the ten wondrously miracles Moses did before the departure of Israelites from Egypt to the promised Land Caanan.
Kumbe anavunga eeh!? Hachukiagi ama?
Eti na kenyewe kanajifanya kamechukia! Ungekuwa na uwezo huo wa kuchukia kiasi hiko basi!
![]()
Ngosha umekwivaMpambano wa Musa na akina Mshana Jr wa Misri![]()
Lizzy jamani Lizzy. Whati izi dis? Yaani kweli tangu mchana umeniahidi kuwa jioni utapiga msosi hasa wa kueleweka large portion (your cheat day) kumbe mbwembwe bado zinaendelea kha!



Mi kilaza tu,nachanganya mafile sana siku hizi nimekuwa mvivu sana.Bible knowledge umeiva



Naomba nije kubusu shingo.Nitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu ni katika Bwana aliyeziumba Mbingu na nchi..
Hatasinzia wala hata lalaView attachment 1619770
Nitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu ni katika Bwana aliyeziumba Mbingu na nchi..
Hatasinzia wala hata lalaView attachment 1619770
Wooiii yule dada yangu bora hata mimi sasaKuna yule dada yako unayemfata ana mwili mzuri Sana.
Wewe sasahivi pungua tu hata kidogo,baadaye ukishazaa utakuja kunenepa Sana hadi utakuwa unatisha.
Duuh ana anorexia nervosa au niniLizzy jamani Lizzy. Whati izi dis? Yaani kweli tangu mchana umeniahidi kuwa jioni utapiga msosi hasa wa kueleweka large portion (your cheat day) kumbe mbwembwe bado zinaendelea kha!
Ai givapu kwa kweli. Endelea tu sasa kutokula umzidi hata Flaviana Matata ushuke kidogo mpaka kwa yule mama mwimbaji wa Kanada sijui Seline Dioni sijui nani yule niliona picha zake mpaka nikaogopa.
Toto disapointimenti kwa kweli...
View attachment 1619723