BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,628
- 19,810
Ooh halelujah!Nitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu ni katika Bwana aliyeziumba Mbingu na nchi..
Hatasinzia wala hata lalaView attachment 1619770
Ooh halelujah!Nitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu ni katika Bwana aliyeziumba Mbingu na nchi..
Hatasinzia wala hata lalaView attachment 1619770
Amina mpendwaNitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu ni katika Bwana aliyeziumba Mbingu na nchi..
Hatasinzia wala hata lalaView attachment 1619770

Nitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu ni katika Bwana aliyeziumba Mbingu na nchi..
Hatasinzia wala hata lalaView attachment 1619770

Ooh halelujah!
umenikumbusha pastor mmoja maneno yake alisema “if praising lord is wrong then i dont want to be right”Ukiwa hivi bongo wanakuelekeza ilipo zahanati ya karibuLizzy jamani Lizzy. Whati izi dis? Yaani kweli tangu mchana umeniahidi kuwa jioni utapiga msosi hasa wa kueleweka large portion (your cheat day) kumbe mbwembwe bado zinaendelea kha!
Ai givapu kwa kweli. Endelea tu sasa kutokula umzidi hata Flaviana Matata ushuke kidogo mpaka kwa yule mama mwimbaji wa Kanada sijui Seline Dioni sijui nani yule niliona picha zake mpaka nikaogopa.
Toto disapointimenti kwa kweli...
View attachment 1619723
Hio shingo ni tulete ngombe wangapiNitayainua macho yangu nitazame milima
Msaada wangu utatoka wapi?
Msaada wangu ni katika Bwana aliyeziumba Mbingu na nchi..
Hatasinzia wala hata lalaView attachment 1619770


We jamaa umepotea sana jukwaa hiliNaomba nije kubusu shingo.
Akhsante mkuuMkuu una shingo nzuri & bora ya muda wote!
Wooiii yule dada yangu bora hata mimi sasa
Yule ndiyo mnene haswa
.siyo yule mkubwa.. yule mwingine sasaUliniahidi kuweka picha October 29Ooh halelujah!
Akhsante SanaAmina mpendwa
Nimependa hiyo shingo yako
Mimi ni nani kwa mfano nisiweze kunena na moyo wako Saint Anne
Chache tuHio shingo ni tulete ngombe wangapi![]()
Nicebeautful peopleView attachment 1619960

Nice![]()
AminaAkhsante Sana
Bado Mungu anasema na na moyo wangu.
MwemaAmina
Kwema lakini mpendwa