Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Siku ingine usipande usafiri mwambie dereva unashuka unatembea utamkuta juu
Hiyo barabara sipiti Tena Mimi
Nilikuwa sijawahi pita aisee Ni hatari Sana.
Dereva awe mzuri..barabara imening'inia mlimani
hiyo ishu nasikiaga sana na najua ipo ila bado ni ngumu kumeza
![]()
Ila na nyie muwe mnawapa wapa wapenzi wenu mahaba heavy wasiwe wanadanganyika na vitu vidogo vidogo. Jifunzeni kufanya foot rub na massage, massage kidogo wawe wana-enjoy every now and then.
Mbona tuna jituma sana 6*6 mikunjo yote, style zote, utundu mwingi mpaka mwili unachemka mkitoka hapo mpo hoi hata kutembea mnashindwa,Umelipata wapi sokoniYah ni matunda adimu sana kama hauna mti wake si rahisi kuyala .

, au umepanda mti nyumbaniJuiceYah ni matunda adimu sana kama hauna mti wake si rahisi kuyala .
ya pera nitamu banahNaona umerudi kwenye id yako pendwaLeo unakana tena
Nimeshazoea misosi yako yaani mpaka nakaa nasubiria kabisa



Kuna mti hapa ninapoishi .Umelipata wapi sokoni, au umepanda mti nyumbani
Yah tamu mnoJuiceya pera nitamu banah
Ni mwenyewe umechora mkuu?Ball pen drawingView attachment 1618796
Njia yote ipo hivyoSiku ingine usipande usafiri mwambie dereva unashuka unatembea utamkuta juu
Mkuu umekua addicted vilivyo,





Haya ngoja yakue kidogo maana mti wenyewe mchanga .Itabidi uchume mengine unitumie kidogo![]()
Huyu ndugu alikutana na kisiki FURRY TYSON naona hakuamini kilichomkuta, natamani warudiane kwa mara ya tatu
Kule jukwaa la siasa huwaga unatetea chama gani vileLini nilikuwa mwanachama?


Ngoja nakucheki PM unitumie movie kali zote ulizoangalia na mimi nianze kuwa mlevi kidogo , nina movie 20 kwa simu nimezimaliza nimebaki kuzirudia tuMkuu sinywi pombe,sipendi mpira,Sijurushi viwanja. It's only movie.. kwakweli nishakua addicted vibaya mno.. Nataka nitafute sub nitoke huku maana loh