Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hiyo ishu nasikiaga sana na najua ipo ila bado ni ngumu kumeza

Ila na nyie muwe mnawapa wapa wapenzi wenu mahaba heavy wasiwe wanadanganyika na vitu vidogo vidogo. Jifunzeni kufanya foot rub na massage, massage kidogo wawe wana-enjoy every now and then.
Mbona tuna jituma sana 6*6 mikunjo yote, style zote, utundu mwingi mpaka mwili unachemka mkitoka hapo mpo hoi hata kutembea mnashindwa,

unapiga deki safii kabisa, masaji safiii kabisa na goli 3 za ushindi hoi, tatizo hamliziki banah lizy inatokea siku nimesafiri tu, ule utamu sasa unauwaza, unakutana na kijana wa kuosha kucha anaanza tu kupapasa mguu na kushika vidole tu masikio yamesimama juu,mapigo ya moyo yanabadilika..
 

Ndugu yako alikuwa ananichokoza.

giphy%20(2).gif
 
Mkuu sinywi pombe,sipendi mpira,Sijurushi viwanja. It's only movie.. kwakweli nishakua addicted vibaya mno.. Nataka nitafute sub nitoke huku maana loh
Ngoja nakucheki PM unitumie movie kali zote ulizoangalia na mimi nianze kuwa mlevi kidogo , nina movie 20 kwa simu nimezimaliza nimebaki kuzirudia tu
 
Back
Top Bottom