Wao wanadhani mchezo..Mimi nilimwambia Bora nikalime kuliko kusoma Tena sasahivi
..tena kusoma hapohapo eti ananiambia Soma vitu mchanganyiko uwe na uwanja mpana nikamwambia a wapi niacheni jamani
msije kunitoa roho bure mwenzenu
Mimi kozi niliyosoma ilitaka kuniua
mtu hadi unazeekea hapohapo Cha!
Yaani tofauti na watu wengi wanavyopachukulia...waliopo sasahivi wanajua mziki wake..yaani hadi kuna madogo mwaka huu walikuwa wanalia kwanini walikuja
sasa dogo anaanza kulia 1st year
Nasubiri picha ujue