Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
Atakuwa anapambana na mafurushi ya huko nje teh
Yaani nimemmiss hatari. Kaamua kutukimbia wenzie.
Yaani nimemmiss hatari. Kaamua kutukimbia wenzie.
Afadhali bana nikahisi wazanzibari washakuteka huko kwao😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kweli atakuwa anapambana nayoAtakuwa anapambana na mafurushi ya huko nje teh
Ok sawa tutaona inakuaje kipindi Fulani nilipeleka na hii scania 124 trip moja Sudan ilikua super profit Ila kwa Sasa masuala ya usalama hayako sawa hasa dafur nkaogopa wahuni wasije choma chuma tukaanza na upyaNipo mbioni kufanya hivyo professor
Nasubiri ile ahadi ya janaOk sawa tutaona inakuaje kipindi Fulani nilipeleka na hii scania 124 trip moja Sudan ilikua super profit Ila kwa Sasa masuala ya usalama hayako sawa hasa dafur nkaogopa wahuni wasije choma chuma tukaanza na upya
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hahaha haujasahau? Haya fungua pm chapNasubiri ile ahadi ya jana
Sijasahau
Full picture iko nyuma nyuma huko [emoji2] Ila ahadi nishatimiza au vp?Full pic hutaki ??
Weka tu
Hilo Jina[emoji848]
Mimi sikuonaFull picture iko nyuma nyuma huko [emoji2] Ila ahadi nishatimiza au vp?
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hahaha picha Sina tupia kwanza wewe full ili kesho nihamasike kupiga picha full [emoji4]Mimi sikuona
Halafu ahadi gani unaichelewesha hivi utadhani nasubiri ufalme wa mbinguni..embu ifidie wa kuweka full pic.
Hee yaani hiyo ninayokuomba ni ya kufidia ahadi .Hahaha picha Sina tupia kwanza wewe full ili kesho nihamasike kupiga picha full [emoji4]
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Si unaweka mara moja tu??Full pic no my friend Nina personal reasons hope you understand nipe tano [emoji109]
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Kesho Basi nitaweka saiv kwenye simu Sina pic trust me [emoji4]Si unaweka mara moja tu??
Hee[emoji134]kesho tena??Kesho Basi nitaweka saiv kwenye simu Sina pic trust me [emoji4]
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Dodoma ulishamaliza ? Nimekaa Sana pale social science 3 yrsSi unaweka mara moja tu??
Weka picha kwanza[emoji4]Dodoma ulishamaliza ? Nimekaa Sana pale social science 3 yrs
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nimekunyooshea mikono una ugonjwa wa kinganganizi Kama mdogo wangu yaan mpaka unatamani umpige makofiHee[emoji134]kesho tena??
Weka ile ya jana ukiwa umetoa emoj.
Haya weka Sasa jamani tuone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nimekunyooshea mikono una ugonjwa wa kinganganizi Kama mdogo wangu yaan mpaka unatamani umpige makofi
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hahaha humanity??Weka picha kwanza[emoji4]
Kumbe ulikuwa wa Social eeh??
Uliwahi kaa kaa na bondeni?watu wengi wanaosoma CHSS huwa wanapenda kukaa kule bondeni kuliko social sijui kwanini.
Mimi nimekaa Dom hadi nazeekea pale jamani[emoji23][emoji23][emoji23]karibu sana chimwaga December.
Yah