Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
ShikamooHello guys, you're missed from this sidee
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
ShikamooHello guys, you're missed from this sidee
Team #tege I see 👊👊Hello guys, you're missed from this sidee
Mambo Bill..😄

Hello guys, you're missed from this sidee
Safi mkuu leo umetukumbuka kijiweni kwetu karibu uwe unapitapita unatuachia picha nzuri kama hiyo Kila sikuMambo Bill..![]()
Yaani, nna tege flani hivii😄.Team #tege I see 👊👊
Hiki kijiwe ni mtakuja, utazunguka wee ila siku utarudi, mi nimerudi rasmi sasa ni mwendo wa selfies tu.Safi mkuu leo umetukumbuka kijiweni kwetu karibu uwe unapitapita unatuachia picha nzuri kama hiyo Kila siku
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hahaa champagne ,haya babe wangu uliyeniachaga😀Wooow!
Mguu wa champagne!
Sexy tege...la kishikaji sana halafu. Jasti gojaziYaani, nna tege flani hivii.
Una machoo, i thought hamtogundua eti![]()

shukran Director nataka niweke selfie na wajumbe wangu niliofanya nao sherehe baada ya kudai wote walinipa kura wakati nilipata 1 yangu tuDah pole sana mkurugenzi
I miss you more jamani saulimate, weekend yako imeanzaje?Hello my soulmate. I missed you![]()
Huyu ni mwingine tena? AiseeLeo samaki na deal nao perpendicularView attachment 1602441
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app

Wikendi njema sana. Nilikuwa nataka kulog out lakini umesema leo ni mwendo wa selfie tu. Basi nakesha hapa leo. Donti leti mi dauni puliziI miss you more jamani saulimate, weekend yako imeanzaje?

Kweli wajumbe siyo watu😀, pole na hongera kwa kuthubutu mkuu Ukwaju.shukran Director nataka niweke selfie na wajumbe wangu niliofanya nao sherehe baada ya kudai wote walinipa kura wakati nilipata 1 yangu tu
Huyo alikua wa usiku mkuu usiogope sikuunganishaHuyu ni mwingine tena? Aisee![]()
Thank you Soulmate😍Sexy tege...la kishikaji sana halafu. Jasti gojazi![]()
Hata kama umeunganisha mkuu hakuna gogoro. Wanaume wa mikoani kawaida yetu hiyo. Ungekuwa mwanaume wa Dar pengine ndiyo tungeshangaa kidogoHuyo alikua wa usiku mkuu usiogope sikuunganisha
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app



Miss you pia.Nilikumiss sana.
Za siku nyingi?
Dah nimecheka sana mkuu interval ilikua ndogo Sana Kama masaa mawili siunajua mkoani njaa inauma uma bila mipangilio na misosi ya kumwaga tuHata kama umeunganisha mkuu hakuna gogoro. Wanaume wa mikoani kawaida yetu hiyo. Ungekuwa mwanaume wa Dar pengine ndiyo tungeshangaa kidogo![]()