Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na ni msomi mzuri tu nadhani udsm alisomea Sheria to be honest Mimi ndio namkubali ana utulivu Fulani wa kipekee katika uhubiri wake hawa wengine wengine huaga nashindwa kuwaelewa wamekaa Kama wapiga dili

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Halafu kuna watu walikuwa wanamtukana humu
Nilitamani niwameze,lakini nikakumbuka hata Yesu mwenyewe aliteswa,alisemwa.

Kwanza ninachomsifu kitu kimoja,hajajikoroga kwenye siasa.
Yaani kutoka ndani ya Moyo wangu nampenda huyu baba jamani mwee
 
Halafu kuna watu walikuwa wanamtukana humu
Nilitamani niwameze,lakini nikakumbuka hata Yesu mwenyewe aliteswa,alisemwa.

Kwanza ninachomsifu kitu kimoja,hajajikoroga kwenye siasa.
Yaani kutoka ndani ya Moyo wangu nampenda huyu baba jamani mwee
Kuna flash Ina mahubir yake Fulani naiweka Sasa hivi inisindikize njia nzima ndio natoka mkuu now sijabaja hosp back to stone town

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Aisee
Angekuwa mama yangu husafiri usiku
Na ukilazimisha kusafiri utamtesa tu maana hatalala hadi wewe umefika
Mama pia kakataa nimeforce tu nilikuja na rafiki yangu so atleast kaona tutapokezana Ila nae kasema sitalala mpaka mfike upendo wa wamama yaan acha tu hua naimagine siku mama hayupo ninavodeka sijui itakuaje

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Mama pia kakataa nimeforce tu nilikuja na rafiki yangu so atleast kaona tutapokezana Ila nae kasema sitalala mpaka mfike upendo wa wamama yaan acha tu hua naimagine siku mama hayupo ninavodeka sijui itakuaje

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ona sasa unavyomtesa mama.

Mimi kuliko nimtese mama yangu hivyo,huwa naona Bora nisafiri mchana tu.

Mkuu embu imaginations zako hizo ziishie hapo hapo
 
Back
Top Bottom