Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
HahahaNi yeye![]()
HahahaNi yeye![]()
Niwe mkweli tu hiyo rangi ya chocolate ndo ugonjwa wangu...naumiaaa mie😌
Hivi kumbe hua umefunga kiasi hiki?
Kufunga ndio kufanyaje??Hivi kumbe hua umefunga kiasi hiki?

Hips sio mchezo..Kufunga ndio kufanyaje??
Karibu kesho kwa Mwal Mwakaseghe..
Najua uko Mbeya![]()
Mimi kimbaombao weweHips sio mchezo..
Asante kwa mualiko japo siko Mbeya, ntakuwa pamoja nanyi katika fikra![]()





Basi picha inadanganyaMimi kimbaombao wewe
Kumbe haupo mbeya??![]()
Ni picha tu hiyoBasi picha inadanganya
Yep siko Mbeya.. Kwanini ulihisi niko Mbeya?

Aiseeeeeeee!!
Hahah!
Miaka kumi kunipita nakataa tutakua sawa tu kwenye early 30sHahah!
Amekupiga gap miaka mingi sana huyu.
Mimi tu nimepishana naye miaka 10
We sangu umesoma juzi hapa miaka hiyo yeye alishamaliza chuoMiaka kumi kunipita nakataa tutakua sawa tu kwenye early 30s
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ok japo wanawake hua hampost picha zisizo na uhalisia wa mlivo.Ni picha tu hiyo
Japo nimeongezeka ila ni kidogo sana.
Kuna sehemu niliwahi Soma nadhani![]()
hapo kweli kanipita hayupo wa katikati chini yake hapoWe sangu umesoma juzi hapa miaka hiyo yeye alishamaliza chuo

awe ameokoka lakiniYawezekana hips zipo ila mie kimbaombao sanaOk japo wanawake hua hampost picha zisizo na uhalisia wa mlivo.
Kuna kipindi nilipita naenda sehem

Katikati nna kaka tuhapo kweli kanipita hayupo wa katikati chini yake hapoawe ameokoka lakini
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app

