Embu weka yako tuone kama ni kwel
Embu weka yako tuone kama ni kwel
Niweke mara ngapi mdogo wanguEmbu weka yako tuone kama ni kwel

Kama uliweka sikuona... rudia kuwekaNiweke mara ngapi mdogo wangu![]()
Nishafeli mwee,, kesho itabidi nije kwa wajina wangu anipige maombi anisaidie na kutafuta mchumba maaana Kuna Uzi wanasema bila kuoa eti wanaume hatujakamilikaKatikati nna kaka tu![]()


Na Mimi niliuchangia ule uziNishafeli mwee,, kesho itabidi nije kwa wajina wangu anipige maombi anisaidie na kutafuta mchumba maaana Kuna Uzi wanasema bila kuoa eti wanaume hatujakamilika
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
, Jina la shemeji yangu mlezi hilo



Ni tumbo tu linanibeba..nina tumbo dogo mno..linafanya nionekane nina hips kumbe sinaMuongo kama huyu ndo dada yako basi yeye ndo anakufukuzia sio wewe unamfukuzia.. Hizi picha 2 zinaku prove wrongView attachment 1601474View attachment 1601476

mimi ni mwembamba Sana.
Oh basi inawezekana nimechanganya mafileNakataa
No sijawahi ishi Mbeya


Sijafuta mbonaKama uliweka sikuona... rudia kuweka

Nimekuja kumsalimu bmkubwa uyole hapa ntamkosa wajina na soon nageuka zangu ir, mkuu utanifikishia maombi kwa niaba namuamini Sana Yule mshua nadhani nitajibiwaNa Mimi niliuchangia ule uzi
Ohoo kumbe waitwa Christopher, Jina la shemeji yangu mlezi hilo
Kesho sogea pale maana hujui siku wala saa atakayoombea wanaotaka ndoa![]()
Sendo ndo zinaonekanaSijafuta mbona
Uwe anaangalia na post za juu![]()
Karibu mkuu kichinjio unacho na jina limetoka kwenye list ya wapiga kura usije choma tu mafuta na Hilo Boeing 787 dash 8Nawahi uchaguziView attachment 1601497
Hujaona mkoba na sweta na mguu?Sendo ndo zinaonekana
Duh!Hujaona mkoba na sweta na mguu?
Oh nitayapeleka maombi yako kwa imani.Nimekuja kumsalimu bmkubwa uyole hapa ntamkosa wajina na soon nageuka zangu ir, mkuu utanifikishia maombi kwa niaba namuamini Sana Yule mshua nadhani nitajibiwa
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app


Yako iko wapi dogo?Duh!
Ipo juuYako iko wapi dogo?
Na ni msomi mzuri tu nadhani udsm alisomea Sheria to be honest Mimi ndio namkubali ana utulivu Fulani wa kipekee katika uhubiri wake hawa wengine wengine huaga nashindwa kuwaelewa wamekaa Kama wapiga diliOh nitayapeleka maombi yako kwa imani.
Yule baba nampenda mimi jamani..ooh hata mvua inilowanishe vipi lazima niende,anatema madini hadi mtu unachanganyikiwa..
Baba anaichambua Biblia hadi mtu unashangaa unasema Yes
MUNGU ana watu wazuri mno![]()

Huyo mwlm bado yupogo tuOh nitayapeleka maombi yako kwa imani.
Yule baba nampenda mimi jamani..ooh hata mvua inilowanishe vipi lazima niende,anatema madini hadi mtu unachanganyikiwa..
Baba anaichambua Biblia hadi mtu unashangaa unasema Yes
MUNGU ana watu wazuri mno![]()
Aende wapi baba kipenzi Cha watuHuyo mwlm baso yupogo tu
