Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Asante mpenzi. Kubandika nimewaachia wataalam 🙃🙃Umependeza sana na hizo short nailz
Asante mpenzi. Kubandika nimewaachia wataalam 🙃🙃Umependeza sana na hizo short nailz
😘😘😘😘safi sana.makucha marefu huwa hayaubariki moyo wangu kabisa hata sijuagi kwaniniAsante mpenzi. Kubandika nimewaachia wataalam 🙃🙃
Sasa ujisahaulishe.😃sibanduki atiiUsibanduke
Safi sana na 🤝🤝umependeza hakikaNilikua nakusuburia muhakiki wangu 🤝🏾



Halafu ni vizuri ukajikaza kama mwanaume, halafu chunga sana usije ukaharibu watoto mtaani, maana ni kifungo cha maisha hicho, shauri zakoHeeeeeh hatimaye leo umeweka, uwiiiiiih![]()
Mbona hiyo picha kali tu!Nje ya keyboard za JF ila ukiwa JF ni kupost picha kali!View attachment 1597034
Naona likichwa limejaa baada ya kudanganywa una mikono mizur'PRO' majani tee 🤓🤓🤓View attachment 1599012
I suppose so 😏😏😏Naona likichwa limejaa baada ya kudanganywa una mikono mizur
Anaenda mbele kama anarudi nyuma!Mbona hiyo picha kali tu!
Kwani ina Shida gani?
Mdogo wangu si ulinikataza nisiwe naweka ya kwangu lakini?!
Wekeni za kwenu na nyie
Mdogo wangu si ulinikataza nisiwe naweka ya kwangu lakini?!

Huwa unaongea kama wale Taliban wenye siasa/imani kali!
Kuponda watu utadhani mliwaumba nyinyi