Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtaani
20201002_042406.jpg
 
Huwa natamani nijaribu siku moja nione namna watu wanavyolewa
Yaani inakuwaje kuwaje hadi mtu kabisa na akili zake analewa
Inashangaza sana, eti mtu analewa mpaka anajikojolea. Nilikunywa zile zenye jina lako chupa mbili zikakata maana kile kidude ni kitamu jamani and I was okay sasa sielewi nakwama wapi mie

Nataka siku nijaribu kulewa nikiwa home lakini nione kama nitafikia kwa hawa wanaoitwa walevi, nione kama akili zitaruka mpaka nijikojolee bila kujitambua
 
Inashangaza sana, eti mtu analewa mpaka anajikojolea. Nilikunywa zile zenye jina lako chupa mbili zikakata maana kile kidude ni kitamu jamani and I was okay sasa sielewi nakwama wapi mie nasoma

Nataka siku nijaribu kulewa nikiwa home lakini nione kama nitafikia kwa hawa wanaoitwa walevi, nione kama akili zitaruka mpaka nijikojolee bila kujitambua
Dont try it at home alone
Nipe mwaliko ukihitaji kujaribu ili nikulinde
 
Inashangaza sana, eti mtu analewa mpaka anajikojolea. Nilikunywa zile zenye jina lako chupa mbili zikakata maana kile kidude ni kitamu jamani and I was okay sasa sielewi nakwama wapi mie

Nataka siku nijaribu kulewa nikiwa home lakini nione kama nitafikia kwa hawa wanaoitwa walevi, nione kama akili zitaruka mpaka nijikojolee bila kujitambua

Kumbe swala la kulewa ni akili ya mtu tu
 
Back
Top Bottom