Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,670
- 50,987
Ukijaribu hiyo siku unatakiwa uwe chumbani umejifungia, maana pombe inakawaida ya kukufanya uwe mduwanzi sana, utapoteza network utafanya mambo makubwa ya kushangaza hasa kwa wageniHuwa natamani nijaribu siku moja nione namna watu wanavyolewa
Yaani inakuwaje kuwaje hadi mtu kabisa na akili zake analewa![]()

