Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Somewhere in Tanzania
1601041587067.jpg
 
Pole 🙂🙂 ila sikukaribishi maana hata sio nzuri...utaboreka bure 😏😏
Ni dhambi kukosoa zawadi ya kupewa na mwanamke, iwe nguo, msosi n.k (hata Kama kinachumvi nyingi, unatakiwa kusifia tu).

Ngoja niuze Korosho zangu nikupeleke Malindi, Zanzibar ukaonje supu mwanana ya ngisi😋😋
 
Ni dhambi kukosoa zawadi ya kupewa na mwanamke, iwe nguo, msosi n.k (hata Kama kinachumvi nyingi, unatakiwa kusifia tu).

Ngoja niuze Korosho zangu nikupeleke Malindi, Zanzibar ukaonje supu mwanana ya ngisi😋😋
😄😄 kwahiyo unaishia kulaani kimya kimya tu?? Inabidi kusema bana (japo kwa upole) ili siku nyingine kuwe na some sort of improvement .

Alaaah 🙂🙂... na msimu ndo huu right??

Ila mie fresh juice na kibua wa Lukmaan tu au chicken shawarma ndo 🤗🤗
Hivyo vingine 🤪🤪
 
😄😄 kwahiyo unaishia kulaani kimya kimya tu?? Inabidi kusema bana (japo kwa upole) ili siku nyingine kuwe na some sort of improvement .

Alaaah 🙂🙂... na msimu ndo huu right??

Ila mie fresh juice na kibua wa Lukmaan tu au chicken shawarma ndo 🤗🤗
Hivyo vingine 🤪🤪
Psychology yenu ni ngumu sana kuilewa, ndiyo maana inatulazimu ku pretend muda mwingine.

Basi jiandae kwa mtoko wa kwenda kufurahia supu ya chaguo lako, si umesikia bei ya kilo 1 imefikia 3,000+ Tshs.?
 
Psychology yenu ni ngumu sana kuilewa, ndiyo maana inatulazimu ku pretend muda mwingine.

Basi jiandae kwa mtoko wa kwenda kufurahia supu ya chaguo lako, si umesikia bei ya kilo 1 imefikia 3,000+ Tshs.?
Msijitese hivyo bana. Psychology or not....kuna umuhimu wa kuwa mkweli ili mtu uwe na furaha. Tafuta tu namna ya kufikisha ujumbe kiungwana 😏😏

Basi sawa 👊👊👊
 
Msijitese hivyo bana. Psychology or not....kuna umuhimu wa kuwa mkweli ili mtu uwe na furaha. Tafuta tu namna ya kufikisha ujumbe kiungwana 😏😏

Basi sawa 👊👊👊
Labda wewe uko tofauti madam

Ukinishtua kuanzia tarehe 20 hivi ya mwezi huu sio mbaya, tukate tiketi mapema ya 🛫 au ukipenda 🛳 manake najua mzigo utakuwa umesoma kwenye akaunti.
 
Back
Top Bottom