Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,670
- 50,987
Kwahiyo unampoteza mwenzioNzuri sana hata km ni kichwa panzi haisumbui tamu ipow kama soda![]()
Kwahiyo unampoteza mwenzioNzuri sana hata km ni kichwa panzi haisumbui tamu ipow kama soda![]()
UsijirabuOhoo
Nitajaribu
Umenipa hamasa rafiki![]()

Glad to hear that.👊👊
Mbona niliambiwa haina kileviWeeeeee hiyo ni kilevi usije acha kuhubiri Injili

Acha umbea kapambane na uzi wako kuleMbona niliambiwa haina kilevi![]()
Sawa nakuja navyo mkuu, ngoja nipitie na ndimu kunogeshea kitoweoNjoo nayo na ugali beba kabisa mkuu


Samaki kama samaki
Wahi....Sawa nakuja navyo mkuu, ngoja nipitie na ndimu kunogeshea kitoweo![]()
Safi mkuuUgali kama ugali
Vipi kwema lakini mkuu
Ila mimi siwezi kulewa jamani![]()
![]()
Onja uone
Kwa kua itajichuja yenye alcohol itaenda utumbo mwingine na maji kwingineIla mimi siwezi kulewa jamani

labdaInakuwaje mtu analewa?Kwa kua itajichuja yenye alcohol itaenda utumbo mwingine na maji kwinginelabda
Usinywe nisikilize mimiInakuwaje mtu analewa?
Mimi siwezi
Huwa natamani nijaribu siku moja nione namna watu wanavyolewaUsinywe nisikilize mimi
