Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
He he! Nenda Sasa kwa hilo kumbikumbi uje uone si ni vitendo litakutenda mpk uyakumbuke mashairi yangu..![]()











He he! Nenda Sasa kwa hilo kumbikumbi uje uone si ni vitendo litakutenda mpk uyakumbuke mashairi yangu..![]()











Mi nakuruhusu tu nenda halafu ukija geuka utakuta nami nishageuka hapo ndo utaelewa kwanini iliimbwa ile nyimbo dunia haina huruma..😅
Mi nakuruhusu tu nenda halafu ukija geuka utakuta nami nishageuka hapo ndo utaelewa kwanini iliimbwa ile nyimbo dunia haina huruma..
Usiache mbachao kwa msala upitao usiku mweka my sweet love..![]()









Nipogo mpendwa
Yaani wewe ungekaribia japo age yangu ungesumbua Sana![]()
Ma mkubwa usiniumbue sasa




Mie hata sikufika kidato cha 3 chenyewe.Amna hata ukiangalia hiyo definition ni ya form 3..that means my Education level ni kidato cha 3![]()
Usijari dea unatumiwa.Asante
Nazisubiri,fanya kunitumia![]()
Nataka kuona mie hivyooohAmkeni nataka kuweka picha kali
Wee dea naomba unipe picha zote ulizotuma jana ambazo sijaona, plz
Miss you zaidi Kipenzi..I miss you so much auntie
Picha ndo umenidanganya mam lolMiss you zaidi Kipenzi..


, but mic u moaah 


Imenivutia sana hiyo salad 🥗 Kuku kwa mbali..Duuuuh hapa mate yanachuruzika tyuuuuh, Chakorii njoo hapa uone vityuuuh vitamu
Imenivutia sana hiyo saladKuku kwa mbali..
My dea vyakula vinavyouvuruga ni ugali dona,matembele,Nyanja chungu,namna,biringanya,Dagaa,samaki sangara(kichwa),nyama ya kuchoma,kuku wa kienyeji chukuchuku pilipil ya kutoshampka minyoo yangu imesimama



ndo maan unakua bonge, unakula vitu OG yaan nechurale, nakujua kwa msosi hujiban weeAiseh napenda kula vyakula vya asili my dear.ndo maan unakua bonge, unakula vitu OG yaan nechurale, nakujua kwa msosi hujiban wee
Ugonjwa wa wakina dada huo, chips kuku