Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Weka hapa tufaidi vizuriNjoo porini bas![]()
Weka hapa tufaidi vizuriNjoo porini bas![]()
Ulete mahari kwetuDah! Okay nishajua kiu chako,nitalishika pindo lako
Kwa mbwembwe za kimasomaso na kuutakasa mwili wako..
Hofu juu yangu ondoa.. mi sio cha wote mama..
Kwahiyo ndo umeamua uende kuzimu baby..?Na ninaenda PM![]()
HayaNaogopa macho ya watu![]()
Ombi lako limepita..Ulete mahari kwetu
SawaOmbi lako limepita..
Mkuu ona Sasa sisi hatuna maneno mengi Kama madalaliKwahiyo ndo umeamua uende kuzimu baby..?




Njoo ntakuonyesha Kila kitu, Hadi vile visivyoonyeshwaHaya
Nikija huko unanionyesha bila kunificha kitu




Ana mashairi mengi huyo badala ya kufunga safari alete mahari nyumbaniMkuu ona Sasa sisi hatuna maneno mengi Kama madalali![]()
Usiende kwa huyo hao ndo wale vinyonya damu kitakulaghai bure unisahau kwa muda Tena hivyo ndo vile vimtu vinavyojua kukondesha mtu anakuwa skeleton..😂
Eti kuzimu![]()
Usiende kwa huyo hao ndo wale vinyonya damu kitakulaghai bure unisahau kwa muda Tena hivyo ndo vile vimtu vinavyojua kukondesha mtu anakuwa skeleton..![]()










Ana mashairi mengi huyo badala ya kufunga safari alete mahari nyumbani


ogopa watu wenye na kelele nyingiJipe ujiko uuone mwiko..😜Mkuu ona Sasa sisi hatuna maneno mengi Kama madalali![]()
Wa kuwaogopa mnoogopa watu wenye na kelele nyingi


He he! Nenda Sasa kwa hilo kumbikumbi uje uone si ni vitendo litakutenda mpk uyakumbuke mashairi yangu..😂Wa kuwaogopa mno
Mwanaume ni vitendo buana![]()