Ohooooooooooo🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Mmmmh....sidhani
Mi nimeshusha mzigo jana na juzi hapa
Afadhali unisaidie mkuu huyu Chakorii anataka kuleta usanii hapaMmmmh....sidhani
Sijui chochote coz simfahamu in person.
Sijawahi kuchochea huyu we thibitisha tuuUchochezi huu
Ila weww si wa kunicheka joanah
Hata kama Chakorii sijawahi kuona picha yake wala kumuonana yeyeAfadhali unisaidie mkuu huyu Chakorii anataka kuleta usanii hapa
We dogo ujue nakuamini sana ndo sbb nimekuita uthibitishe hapaSijui chochote coz simfahamu in person.
Mwandiko mzuri wa ku sign chequeIla weww si wa kunicheka joanah
View attachment 1546662
Naona umesharuka kiunzi😅😅No sijakucheka,bahati mbaya imejibonyeza bahati mbaya
Umemaliza kaka mkubwa, haya Chakorii njoo ushushe mzigo halisiHata kama Chakorii sijawahi kuona picha yake wala kumuonana yeye
Hiyo picha siyo picha yake na wala siyo yeye mkuu Mjep
Mwandiko wake na muonekana wa hiyo picha(sura)ni vitu viwili tofauti mkuu
Kwa hiyo naungana na wewe kupinga/kukataa siyo Chakorii huyo.