Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama umeangalia uvaaji unaweza kuwa umepatia. Huwa natofautisha mavazi na mahala pake au kulingana na watu.
Ex-girlfriend alipenda nivae hivi. Nowadays sivai labda usiku.View attachment 1546266
X- gf wako ni noma na nusu, mm mwanaume akivaa ripped jeans hatuendi njia moja.

Nlipiga ana ana do, nikaangukia kwa yule aliyependeza zaidi. Maana bila kupendeza pic usingepost 😀
 
X- gf wako ni noma na nusu, mm mwanaume akivaa ripped jeans hatuendi njia moja.

Nlipiga ana ana do, nikaangukia kwa yule aliyependeza zaidi. Maana bila kupendeza pic usingepost
Asingeweza toka na mimi nikiwa nimevaa vitambaa kabisa. Mwenyewe nishawahi muona mara moja tu na gauni, havai sketi. Kwanza katimiza 20 yrs mwezi June.

UCL final imeanza
 
Nakupa ya mils 750, ili utosheke haswaaaah. Unajua sipendi uteseke dea. Afu natak kufanya manunuzi ya zawadi za uncle.
Mils 750 utakuwa umenimaliza kabisa 😋uncle yupo tu anakusubiri...
 
Back
Top Bottom