Ugali uligunduliwa na Wasukuma. Tafiti zote zinakubaliana
...
Tunaambiwa eti mahindi yaliletwa Afrika na Wareno...na ulezi, mihogo na mtama sijui na watu gani. Kama hii ni kweli pengine inawezekana kufuatilia historia ya kuenea kwa ugali kwa kufuatilia historia ya wavamizi hawa ilivyokuwa katika bara la Afrika...na huko walikotoka....just an innocent observation