Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weee nani kasema?? Hayo maneno tu hata mimi nilikuwa nayasikia kabla sijaenda ila nilivyoenda nilichokikuta kule mbona nililaani walikuwa wanasema oohh ile kambi ya wagonjwa kwahiyo ni mwendo wa bata tu sasa kwa taarifa yako hao wagonjwa walikuwa wanatengwa ndiyo wanapewa kazi rahisi wengine wote doso kama kawa kama dawa!!
Ruvu bado Ni kambi ya watu mayai mayai.
Kuna mmoja alienda huko ...lilirudi lipo vilevile... Basi akianza kutusumbua Sasa
 
Back
Top Bottom