Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahaa na me nilikuwa sijui etiAloo kumbe na wewe ni mnyakyusa??
Hahaa na me nilikuwa sijui etiAloo kumbe na wewe ni mnyakyusa??
Haha wanyakyusa ni jeshi kubwaHahaa na me nilikuwa sijui eti
Hahaha muzigo unaongeza confidenceHahaha!!
Kichaa wewe.. Umejua kunichekesha looqh'..!!
Hebu nisaidieni mimi kuhubiri injiliHalafu kuna watu wanasena JF hakuna Visu vikali... Na Walaaniwe..
Camera nimeisogeza kwa karibu we nae
Nimeshapata mume.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hivi aliyekuwa kavaa kitu cheupe au cheusi sijui alikuwa na hali gani Jana
Mimi pia nipo nadhurura dhurura mitaani tu,Niko huku muda huuView attachment 1221356
No wonder anajuaga kusimamia show zake mwanzo mwisho.Haha wanyakyusa ni jeshi kubwa
Kapeace Ameomba niweke nyingine ya Kusimama... Naweka hivi punde..
Sina taarifa lakini!!
Naona umetoka kuzama chumvini kwa mama msafisha barabara
Unishtue DadaHahaha yaani ungeona niko tayari kwa muujiza chagua kalo kuliko zote
Namtafuta bibi bado,,, mpaka saiv team yangu imeshindaNimeshaskia kuringa!!
Ngoja niwaaminishe wewe na Saint anne vile nilivyo chibonge wa ukweli.!!
View attachment 1221354
this morning..!!