Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,452
- 176,432
Salamu za shukrani.Sawa
Na mimi nisubiri nini toka kwako?
Salamu za shukrani.Sawa
Na mimi nisubiri nini toka kwako?
Huyu hata muda wa kumsikiliza hivi tunao tena kweli? Tumempa nafasi kibao akatuchukulia poa sana.
Binafsi sipo hata tayari kumsikiliza tena. Nenda kwenye Sheria mdogo wangu. Dadako nipo hapa.![]()




Halafu unakuta vipaja vyenyewe vimepaukaa halafu vimekomaa hivyoSuruali za dada zao!
Tena hawa zao ndiyo zimechanwa vibaya hadi mtu unajiuliza sasa nao wanamuonesha nani mapaja yao!![]()



Vitu vyangu hivyo.
Mmmm... sidhani.Nimeokoka ndivyo
Aiseee!!Halafu unakuta vipaja vyenyewe vimepaukaa halafu vimekomaa hivyo![]()
Kwema mkuuStori za jeans mitoboko na ulokole ukiisha wekeni picha.
Kwema kabisaaa mheshimiwa.Kwema mkuu
Vizuri sana kama ni kwema kabisa mjumbeKwema kabisaaa mheshimiwa.
Mkorofi sana weweKumbe na zenu zimechanwa hadi mapajani
Maisha yanakwenda kasi sana aiseee!
Sijui amekula nini aisee, amshirikishe na Depal na Saint Anne maana walikuwa wanataka hints.



hao walishasema kuwa miili yao imekosa adabu na utiiKwendraaaaaaMmmm... sidhani.
Hivi ukiokoka unatakiwa usiwe unafanya matendo yapi?
Na yapi unatakiwa ufanye?View attachment 1541006
Babe njoo huku!!Halafu unakuta vipaja vyenyewe vimepaukaa halafu vimekomaa hivyo![]()
Kuokoka ni lazimaKwendraaaaaa
Haya sawa baba nitaokoka tenaKuokoka ni lazima
Abee babeBabe njoo huku!!
