Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Kwa Yesu ujanja kuokoka.mzima weweMambo
Kwa Yesu ujanja kuokoka.mzima weweMambo
Akhsante na kwako pia mkuuAsubuhi njema wote.View attachment 1540840
Hahahaha......Chakorii bhanaKwa Yesu ujanja kuokoka.mzima wewe
Eti hukuwahi kuwazaHahah kakufutia simu hako mkwe!!! Sema huwa kinakujaga tu hiki kitu sikuwahi waza namie kitantokea ila naona kinanijia kwa kasi ya uchumi wa kati



Nani anakuficha?Sawa Mpenzi. Utakipata.
Miss you.
Michembe na maziwa ya mgando.Munakula nini?
Hahaha....nilitegemea/nilijua fika jibu la swali langu litakuwa michembeMichembe na maziwa ya mgando.

Yule msukuma mwenzio aloshindikana yuko wapi?Hahaha....nilitegemea/nilijua fika jibu la swali langu litakuwa michembe
Jael bhana
Nani sasa? Majukumu tu mdogo wangu.Nani anakuficha?
Hivi si nikiishiwa naweza kumwomba dada eeehNani sasa? Majukumu tu mdogo wangu.



Yaani nilimpigia simu kwanza kuhakikisha kuwa yupo ofisini. Nakuletea makaratasi soon.Hahaha nafanya maombi ukifika ukute ofisi zimefungwa..
Haiwezekani ufanye jaribio la kuvunja undugu.
Hamna hizo ni mbinu tu za kuweka mambo sawa maji yasizidi ungahivi tutachomoa kweli mbona mnatuandalia mbinu nzito jmni
![]()

Atakuwa ameenda kulimaYule msukuma mwenzio aloshindikana yuko wapi?
Kwa maombi nayoyapiga utafika eneo la tukio na ofisi usizioneYaani nilimpigia simu kwanza kuhakikisha kuwa yupo ofisini. Nakuletea makaratasi soon.

Mwambie alime sana nasubiri mchele.Atakuwa ameenda kulima
Wanafamilia sijui umewapa mlungulaKwa maombi nayoyapiga utafika eneo la tukio na ofisi usizione
Nimekwambia migogoro yetu hii itatatuliwa kwenye kikao cha familia we unaanzaje kukimbilia kwa mwanasheria.?


Unaweza mdogo wangu.Hivi si nikiishiwa naweza kumwomba dada eeeh![]()
