Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Nahisi unasemea highwaist hizoAisee
Zile ambazl huwaga zimepanda hadi tumboni?
Siwezi
Mazoea tu hayo hata hivyo nayo mtu akiva
anapendeza
Nahisi unasemea highwaist hizoAisee
Zile ambazl huwaga zimepanda hadi tumboni?
Siwezi
Mimi sio magotini tu...suruali iliyochanika popote pale siwezi vaa kabisa nilishashindwaga.
Ila huwa naenjoy sana kumuona mtu kavaa lakini sio mimi.
UsijaliNasubiri.
Chakula kizuri,cha zaidi ni kuwa kipo simple tuAsante, umenitamanisha sana.
Mimi navaa za kitambaa siku nikivaa jeans sijui najisikiaje hata , nahisi mazoea maana navaa nguo fupi pia .
Nakupm mchumbaMchumba
Naomba ujiselfishe nikuone
Aisee MtakatifuTunataka picha yako

Hizo ni zipi?Nahisi unasemea highwaist hizo
Mazoea tu hayo hata hivyo nayo mtu akiva
anapendeza
NasubiriNakupm mchumba

Unatunyima kuona nini?Aisee Mtakatifu![]()
Bora Wewe unavaa ukiwa unafanya mazoezi




Embu tuoneBasi mie za kitambaa au skin huwa sivai sana! Napenda sana za jeans na cadet tu!
😀 gauni na sketi nzuri tu lakini..Nitamtia aibu na magauni yangu mwendokasi ya vitenge
Lakini si upo wifi,utanifundisha.
Yaani ujue huwaga wananiponda Huku zile gauni zangu wanaita mifuko
Ila hizohizo wanakuja kuazima j2
Mimi hizo suruali huwa nawaambia zimeliwa na panya,nitawawekea viraka
Suruali za high waisti zinahitaji kiuno na hipsi zilizokaa vizuri😀Mimi inategemea na mtu aliyevaa yukoje ndiyo naweza nikapenda au nikachukia au hata zile zilizokatwa chini na hazijapindwa!
Mimi binafsi zimenipitia kushoto kabisa hata hizi suruali za high waist nazo huwa siyo mshabiki japo hizi ndiyo napenda nione mdada kavaa!
Huu ukimbaombao ulete ajali!?!?!gauni na sketi nzuri tu lakini..
Zinakupendeza sana na ushepu wako huo..
Ukivaa suruali au jinzi utasababisha ajali









Kama hizi dearHizo ni zipi?
Zile ambazo zinapwaya hivi ukitembea unaelea tu mule ndani??