Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Duh huko sasa usifikeNatafuta mwanasheria wa kuufuta maana unanifanyia mambo meusi sana.
Duh huko sasa usifikeNatafuta mwanasheria wa kuufuta maana unanifanyia mambo meusi sana.
Sasa kaka angu akikupeleka ulaya wakati wa winter utavaa nini?😂😂😂
Sina hata ya kusingizia.
Unajua cha kufanya ili nisifike.Duh huko sasa usifike
Hahaha AnneSasa endelea kufurahi
Siku nikikufwata utanipa album nzima
Duh basi nitafanya...Unajua cha kufanya ili nisifike.
Mikwara hyoHatujamuona
Usitutetemeshe
Weka picha wewe

Bora ujisalimishe uweke hapaHahaha Anne
Vipi broDaaaaa aiseee
Hahaha Anne kumbe mikwara unaiwezaBora ujisalimishe uweke hapa
Bila hivyo nikija huko nitakutetemesha Hadi kitambi kidondoke
Karbu sister!
Hilo neno baya aiseeLadies first hujui!??
Nitamtia aibu na magauni yangu mwendokasi ya vitengeSasa kaka angu akikupeleka ulaya wakati wa winter utavaa nini?![]()
Jifunze kuvaa jinzi japo ujue saizi gani inakutosha....Hahahaaa


Haya weka sasaHilo neno baya aisee
Hakuna namnaHahaha Anne kumbe mikwara unaiweza




Nasubiri.Duh basi nitafanya...
mwee







Asante, umenitamanisha sana.Karbu sister!
Tunataka picha yakoKarbu sister!