Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi magauni nilikuwaga napenda zamani! Ila as i grow up najikuta napoteza interest kwenye magauni hivyo mie ni mwendo wa suruali tu na tshirts au shati za mikono mirefu halafu nakunja!
Aiseee
Mimi utadhani nina kiwanda Cha vitenge..na hivi siku hizi natengeneza batiki.
Yaani naeza vaa vitenge mwezi mzima bila kurudia.

Hivi wanauzaga sh ngapi tule tujeans nipate pa kuanzia[emoji4]
 
Huu ukimbaombao ulete ajali!?!?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu wifi,kaka yako anakuja lini jamani [emoji847][emoji847][emoji847]
Ujue namsubiri hadi naimba haleluya,,ninong'oneze tafwadhali
Nimemsubiri mno Jamani
Sasa kila nikikuambia uweke picha umegeuka ili nimpelekee hutaki ..picha zote unajificha. Hebu tuma kompliti basi
 
Back
Top Bottom