Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Mwee tatizo ukiwa mpole unakuwa mpole mno




Hahaha dear kweli hujazoea mie nakuwaga mkavu . Ikiwa Mara ya Kwanza unaona ajabu ila ukizoea hata huoni shida
Jina limekaa poa sana hili .






eti unakuwa mkavu 
Na mimi nilibadili Karma sababu sikupenda kuulizwaulizwa kuwa mimi ni me au ke, maana wengi walifikiri mimi ni me.
Sasa natumia Zoë naona usumbufu pm umezidi wakati enzi zile usumbufu ulipungua kwahiyo bora nirudie lile, atakayechanganyikiwa na achanganyikiwe tu ila wengine hatupendi usumbufu wa mara kwa mara pm.








Mnoila huyo ndugu yako naye ana matatizo ya problem








Huwa inakera hasa unapochangia watu wakihoji jinsia yako , sure I totally agree with you kuna id ukiwa nayo pm utasumbuliwa mno wakati natumia Aurora ilikuwa shida kumbe kuna pornographic actress anaitwa Aurora Jolie .Na mimi nilibadili Karma sababu sikupenda kuulizwaulizwa kuwa mimi ni me au ke, maana wengi walifikiri mimi ni me.
Sasa natumia Zoë naona usumbufu pm umezidi wakati enzi zile usumbufu ulipungua kwahiyo bora nirudie lile, atakayechanganyikiwa na achanganyikiwe tu ila wengine hatupendi usumbufu wa mara kwa mara pm.
TobaaaHuwa inakera hasa unapochangia watu wakihoji jinsia yako , sure I totally agree with you kuna id ukiwa nayo pm utasumbuliwa mno wakati natumia Aurora ilikuwa shida kumbe kuna pornographic actress anaitwa Aurora Jolie .




HakikaUpole ndiyo hulka yangu! Siwezi kufake upole ila naweza kufake kuwa cha mdomo!![]()
Utuwekee na kaselfie sasaNa la kwangu si limekaa poa au sio?
Hahaha sure tenaeti unakuwa mkavu
![]()
Nakuambia itabidi tuwe makini tukichagua majina haya , the meaning behind these names .Tobaaa![]()
Mimi ikabidi nianze tu kumshukuru Melo pale na kumtakia kazi njemaHahaha sure tena
.AiseeeNakuambia itabidi tuwe makini tukichagua majina haya , the meaning behind these names .




Jamani siku nyingine uwe free wana customer care nzuri kweli .Mimi ikabidi nianze tu kumshukuru Melo pale na kumtakia kazi njema.
Nilijihisi unyonge
Hahaha bora hiloAiseee
Bora hata langu la wine
Hamna jaribu tena , ila Zoe nzuri lakini
Yaani alinihudumia vizuri ila Mimi mwenyewe nilijihisi vibaya kumsumbua..Jamani siku nyingine uwe free wana customer care nzuri kweli .
!?!?Yaani alinihudumia vizuri ila Mimi mwenyewe nilijihisi vibaya kumsumbua..Jamani siku nyingine uwe free wana customer care nzuri kweli .
!?!?