Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mawazo nayo yanabadilika mkuu. Unaweza kuwa unatumia jina hili then mawazo yakakujia ukajikuta unataka kutumia jina jingine wangeruhusu tu option ya mtu kujibadilishia jina mwenyewe kama mitandao mingine tu.
Tunawasahau humu.
Ikiwezekana watoe kabisa huo utaratibu wa kubadili jina
 
Nzuri tu dear, habari ya huko ? Sikuwepo Kama miezi miwili hivi . Hahaha naendaga kwa Max ananibadilishia .
Kama Safari hii nilisahau password ya akaunt yangu ikabidi nifungue id nyingine niwasiliane na mods mwisho wa siku wakaunganisha kuwa Id moja na jina likabadilishwa.
Kuna cha usumbufu mmoja humu,akipigwa ban anatumia mbinu hii
 
Yeah kama sikosei ulianza na Adorabella ukaja Aurora ukaja Rory ukaja Weylyn ukaja Oluwa ukaja Tansy. Umetumia usernames sita na interval yako ya kubadili ni miezi michache michache tu ila mimi usernames tano tu nimezinguliwa kama nini.
Sasa wewe tano ulikuwa unabadili kila wiki
 
Yeah kama sikosei ulianza na Adorabella ukaja Aurora ukaja Rory ukaja Weylyn ukaja Oluwa ukaja Tansy. Umetumia usernames sita na interval yako ya kubadili ni miezi michache michache tu ila mimi usernames tano tu nimezinguliwa kama nini.
Hahaha you're right huwa nakaa muda siwatafuti then ndo naomba request , adorabella nilichoka kulitumia nikaja Aurora nikaona mizinguo mingi nikaweka Rory kuna id ya mtu inafanana nayo ikabidi nibadilishe kwenda weyyln hapo kwa wey ndo nikasahau password .
 
Msituchanganyie majina jamani

sasa kuchanganyikiwa uchanganyikiwe wewe lawama zije kwangu tena, wewe ukichanganyikiwa hiyo ni juu yako.

Najua wewe unataka nirudie Marianah ila hilo ndiyo kabisa katika majina ambayo sijawahi kuyafikiria kuyarudia hilo ni namba moja yaani bora hata ungeniambia Edelyn
 
sasa kuchanganyikiwa uchanganyikiwe wewe lawama zije kwangu tena, wewe ukichanganyikiwa hiyo ni juu yako.

Najua wewe unataka nirudie Marianah ila hilo ndiyo kabisa katika majina ambayo sijawahi kuyafikiria kuyarudia hilo ni namba moja yaani bora hata ungeniambia Edelyn

Bora Melo akatae tu
 
Back
Top Bottom