Mimi hii hali imeanza kunisumbua muda sana nikachukilia kawaida tu ila tangu juzi sipati notification ndipo nilipo gundua kuwa app imeanza utopolo wake.
Boss katika vitu nimeshindwa ni kuandika "t" na kuweka hicho kimkato katikati..yaani najikuta naweka juu kabisa Tena naweza weka juu Zaidi ya hapo.
Nimejikuta nazoea kuweka huo mkato baada ya kumaliza kuandika neno.
Halafu haya mazoea yamejenga tabia