Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila siku hizi nimekuzoea kweli
Hadi nakujaga kubwabwaja ujinga ujinga wangu

Hivi wewe unahisi umenizidi mimi kwa kubwabwaja ujinga. By the way mimi personality yangu inategemea na mtu unayemuuliza maana naishi na watu kwa namna tofauti kutokana na wao wanavyonichukulia so inategemea.

Mfano maisha yangu ya shule class nilikuwaga mpole yaani hata kusimama mbele ya class kutoa tangazo nilikuwa naona noma ila dom nilikuwa nabwabwaja kama siyo mimi. Kwahiyo ilikuwa ukiwauliza class mates wangu hasa boys mimi nikoje watakuambia mimi mpole ila ukiwauliza room mates wangu watakuambia weeeee hakuna mpole hapa.
 
IMG-20200808-WA0178.jpg
 
Ni mstaarabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Bora umeongea na wewe. Natamani kama wale watu walionipa zile sifa wapite hapa waone sijui niwaite.

Saint Anne unakumbuka kwenye ule uzi wa sijui mtag mtu kisha weka sifa yake moja kuna mtu alisema Zoë namuona mbishi hasa kwenye masuala ya kutetea wanawake anaweza akabishana na JF nzima. Akaja mtu akadakia kuwa eti mimi ni mbishi hadi in real life daah.
 
Bora umeongea na wewe. Natamani kama wale watu walionipa zile sifa wapite hapa waone sijui niwaite.

Saint Anne unakumbuka kwenye ule uzi wa sijui mtag mtu kisha weka sifa yake moja kuna mtu alisema Zoë namuona mbishi hasa kwenye masuala ya kutetea wanawake anaweza akabishana na JF nzima. Akaja mtu akadakia kuwa eti mimi ni mbishi hadi in real life daah.
Ngoja nikaangalie
Ila ule Uzi naona ni utani tu
 
Back
Top Bottom