cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,182
Hapo chacha c* ni burudaanMambo hayo![]()
Hapo chacha c* ni burudaanMambo hayo![]()
Kati ya hizo gari nne kuna gari ya wagonjwa(Ambulance)Mungu wangu weeeeh, yaan hadi natetemeka kwa hofu hapa, Jah awaponye kwa kweli.
Saint AnneMUNGU wangu![]()
Ni nanenane umetoka?
Mungu awaponye haraka majeruhiSaint Anne

AminaMungu awaponye haraka majeruhi![]()
Basi hawajui kumsoma mtu.
Mbona mimi nakuona mstaarabu sana au kwa kuwa sijakuzoea Sana![]()
Ila siku hizi nimekuzoea kweliWewe mbona umenizoea tena sana tu




🤣🤣🤣🤣🤣 no...Ni nanenane umetoka?
Kama upo daslam toa location
Daah ila asante kama hata angalau umeniona mimi mstaarabu kuna watu wananiona kauzu mkorofi muongeaji sina adabu but mwisho wa siku mimi napenda matani tu
Though sina maana matani yangu ndiyo yawe kikwazo kwa wengine





Oh pole dearno...
Tulienda hukoo kunaitwa Mbande ...mbele ya Mbagala kuna vumbi la hatari.
Hapo chacha c* ni burudaanMambo hayo![]()
Ni mstaarabu sana.Basi hawajui kumsoma mtu.
Mbona mimi nakuona mstaarabu sana au kwa kuwa sijakuzoea Sana![]()
Poleeeeeh mam