Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ma fav hit song, at all the time, am craiz on with ......
"Nikipata umepata baby tunakwenda JUU" am enjoy it
FB_IMG_15968316570209426.jpg
 
Depal....

Kesho naona ina mambo mengi,ngoja nianze muda huu...

Unazo kilo 53 na lengo letu uwe na kilo 58 to 60:
Endelea kupunguza matumizi ya limao kwa wingi(jitahidi ili tusitwange maji kwenye kinu).

Jitahidi ule wanga na nyama kila upatapo nafasi na hapa ule hata kama hauna njaa iilimradi iwe ni mlo wa mara tatu kwa siku.

Weka msisitizo kwenye matumizi ya vitu vyenye sukari kama Juice,Cake na soda;angalizo usizidishe matumizi yake nayo yana madhara kiafya..

Pata muda kupumzika pale utokapo kwenye Shughuli zako za kila siku at least uwe na masaa yasiyopungua manane ya kulala na kuifanya akili Irelax...

Chips na Pork usiziweke mbali pia angalau kwa wiki upate mlo wa aina hii.

Imani yangu ukiyafanya haya kwa kiasi utafikia lengo nzuri fanya na mazoezi mepesi ili isije kuwa shida kubalance cholesterol .....
Nikifika 60 si nitakuwa na kitambi?

Masaa nane kulala ✔
Pork + chips - red meat ✔
Malimao nitapunguza
Wanga nawezana na wali tu nahisi. Siku hizi hadi mkate unanishinda, nikijitahidi ni slice 3 hapo nimejilazimisha mno.
Masoda and the like ✔
Mazoezi ✔ weekdays uwa nina kibarua cha kupanda ngazi na kushuka. Zoezi linatosha ilo.

Ngoja nikazane, natumaini sitokuangusha mpendwa.... Asante sana & ubarikiwe
 
Nikifika 60 si nitakuwa na kitambi?

Masaa nane kulala
Pork + chips - red meat
Malimao nitapunguza
Wanga nawezana na wali tu nahisi. Siku hizi hadi mkate unanishinda, nikijitahidi ni slice 3 hapo nimejilazimisha mno.
Masoda and the like
Mazoezi weekdays uwa nina kibarua cha kupanda ngazi na kushuka. Zoezi linatosha ilo.

Ngoja nikazane, natumaini sitokuangusha mpendwa.... Asante sana & ubarikiwe
Poleeh Jah akusaidie sana.
 
Wale wako fresh, pia kuna wale wa maliasili pale... Pia kuna Moshono kwa Mr. Pork na yule jirani yake. Kwa Sakina kuna Hunter na Njooy.

Kotazi kweli sijawahi kukuona wewe? Hebu niambie upoje...Yan uwa nazunguka ile mitaa kama pia
Unajua viwanja vya kitimoto!!!...hunters na enjoy pande zangu sana weekend .
 
Kupunguza uzito , eeh afu nukuulize hivi nyie hamuoni kuchacha? Maan nlijaribu kunywa serengeti ile kuweka kwenye ulimi nilihis short na uchachu wa haja daaaah,
Najiulizaga wanaolewa wao hawaoni kuchacha.
Me naongeza sio kupunguza.
And then sinywi pombe bia, nakunywa tu dry alcohol like wine+ Smirnoff.
Bia ni mbaya jamani kwanza chungu lakkn watumiaji wanakwambia uchungu ndiyo utamu wenyewe. Bia nzuri kiasi ni Heineken
 
Back
Top Bottom