Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,245
- 90,421
AseeNilikuwa nachungulia comments zako nikaona ulisoma chuo Uganda, nataka kuconnect dots hapaunafanya kazi Ta.....? Lile shirika ofisi zake ziko karibu na Exim Bank
AseeNilikuwa nachungulia comments zako nikaona ulisoma chuo Uganda, nataka kuconnect dots hapaunafanya kazi Ta.....? Lile shirika ofisi zake ziko karibu na Exim Bank
OK, OKMe naongeza sio kupunguza.
And then sinywi pombe bia, nakunywa tu dry alcohol like wine+ Smirnoff.
Bia ni mbaya jamani kwanza chungu lakkn watumiaji wanakwambia uchungu ndiyo utamu wenyewe. Bia nzuri kiasi ni Heineken
Vipi boss?OK, OK
Savanna,wines hususan red na whiskey=maisha burudani..Me naongeza sio kupunguza.
And then sinywi pombe bia, nakunywa tu dry alcohol like wine+ Smirnoff.
Bia ni mbaya jamani kwanza chungu lakkn watumiaji wanakwambia uchungu ndiyo utamu wenyewe. Bia nzuri kiasi ni Heineken
Hahahaha, si mchezo ,nimekubali wa kishua ,huchafui mezaSavanna,wines hususan red na whiskey=maisha burudani..
Bia ni chungu na siziwezi loh!
Nasoma hapo drinks zenu wadada,wengine tushazoea double kick au PlisnerVipi boss?
Me naongeza sio kupunguza.
And then sinywi pombe bia, nakunywa tu dry alcohol like wine+ Smirnoff.
Bia ni mbaya jamani kwanza chungu lakkn watumiaji wanakwambia uchungu ndiyo utamu wenyewe. Bia nzuri kiasi ni Heineken
Sawa sawa ,sio demu unalipa ofa anaagiza Safari lager KubwaaaSavanna,wines hususan red na whiskey=maisha burudani..
Bia ni chungu na siziwezi loh!
Haha wazee wa vitokoNasoma hapo drinks zenu wadada,wengine tushazoea double kick au Plisner
Ni katika harakati za kuendelea kujichanganya🤣🤣🤣Hahahaha, si mchezo ,nimekubali wa kishua ,huchafui meza
Beer ni chungu aise siziwezi nikitia kwa mdomo tu..lazima ushirikiano na sura ubadilike😅😅na kesho yake lazima nikae karibu na choo🤣🤣🤣Sawa sawa ,sio demu unalipa ofa anaagiza Safari lager Kubwaaa
Hahahaha, we wa kishua lazima ukinywa bia utaumwaBeer ni chungu aise siziwezi nikitia kwa mdomo tu..lazima ushirikiano na sura ubadilikena kesho yake lazima nikae karibu na choo
![]()
Hahahaha, sawa sawaNi katika harakati za kuendelea kujichanganya![]()
😅😅😅😅😅eti safari kubwa🤣🤣kumbe huwa mnatuchoraga na safari zetu eee🤪🤪Sawa sawa ,sio demu unalipa ofa anaagiza Safari lager Kubwaaa
HahahahaHaha wazee wa vitoko
Hahahaha, mkinunua wenyewe ni safari lager lkn ofa ndio hizo sasa mnazitaja hapo ( utani tu )eti safari kubwa
kumbe huwa mnatuchoraga na safari zetu eee
![]()
Hebu ngoja nisilikatae hili jina la upako.ndani ya huo ushua najua kuna viwanja,nyumba,biashara,pesa,magari,na mambo mengine mengi ya mafanikio.Hahahaha, we wa kishua lazima ukinywa bia utaumwa
Najua😅😅Hahahaha, mkinunua wenyewe ni safari lager lkn ofa ndio hizo sasa mnazitaja hapo ( utani tu )
Wacha weee🤣🤣🤣Nasoma hapo drinks zenu wadada,wengine tushazoea double kick au Plisner
Hahahaha, sawa sawa asije ktk meza kiboyaNajua
Kwanza nikiwa sina hela siendi kokote hilo la kwanza,ulishawahi kuona mtu kajitoa outingi halafu hana hela!!anatia huruma ni kinyama
Kama mwanamke ili kuongeza kujiamin,ni lazima niwe na cash ya kunilisha,kuninywesha na kunirudisha nyumbn.
Hata huyo mwenye kutoa hiyo offer akija anaanza jiuliza mara mbili mbili