Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nikifika 60 si nitakuwa na kitambi?

Masaa nane kulala
Pork + chips - red meat
Malimao nitapunguza
Wanga nawezana na wali tu nahisi. Siku hizi hadi mkate unanishinda, nikijitahidi ni slice 3 hapo nimejilazimisha mno.
Masoda and the like
Mazoezi weekdays uwa nina kibarua cha kupanda ngazi na kushuka. Zoezi linatosha ilo.

Ngoja nikazane, natumaini sitokuangusha mpendwa.... Asante sana & ubarikiwe
Kila la kheri,

Unaweza ukawa na kg 60 na usiwe na kitambi...kikija unafanya mazoezi ya kuondoa tumbo
 


Maisha ndo haya haya mtu chake hakuna mengine.unaweza kujibana weeee mwisho wa siku unafika mbinguni unasikia sauti ikisema...”mlijiachia vya kutosha duniani?hapo ndipo utapotamani kurudi
Tobaaaaaah nimecheka afu kwa sauti kubwa, , ila kweli mam kula maisha kadri ya matakwa, huko mbinguni itaeleweka kwenye mahesabu.
 
Me naongeza sio kupunguza.
And then sinywi pombe bia, nakunywa tu dry alcohol like wine+ Smirnoff.
Bia ni mbaya jamani kwanza chungu lakkn watumiaji wanakwambia uchungu ndiyo utamu wenyewe. Bia nzuri kiasi ni Heineken

Safari, Balimi, Budweiser na Serengeti are the best aise
Na Windhoek na Heineken kidogo ila zingine zote chungu
 
Najua
Kwanza nikiwa sina hela siendi kokote hilo la kwanza,ulishawahi kuona mtu kajitoa outingi halafu hana hela!!anatia huruma ni kinyama

Kama mwanamke ili kuongeza kujiamin,ni lazima niwe na cash ya kunilisha,kuninywesha na kunirudisha nyumbn.
Hata huyo mwenye kutoa hiyo offer akija anaanza jiuliza mara mbili mbili
Mwanamke mpambanaji, u r Cash Madame.
 
Back
Top Bottom