Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Ugonjwa gan tena jaman angalia usilazwe tu
Clkey una ugonjwa wangu
Clkey una ugonjwa wangu
Upaja sasa lol,
Ulijua vinawapata tu wengine eeh?Sikuwahi kufikiri kama nitakipata,siku zote mie huwa sifuati diet.
Safari hii hali imekuwa tofauti ila nitakipunguza tu
Usijariiiiiiih dea,taratib usije nifokea tu
Itabidi tu nilifuate tiba

Nilikosea sana kuwaza hivyo.
Poleee.Lol darl ,dadaako siku hizi niko busy ka customer care wa Airtel


nipo sema mambo mengi tu
Wewe bidadaa adimu sana siku hiziiitaratib usije nifokea tu
JishangaeWewe sio wa ukunifanyia hivyo ujue![]()

Wee hebu weka pic ako lol, natak kuona jomoneeeeeehSawa dear