Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,594
- 13,422
Kuna sura nimewahi kuona Arusha ila sijui ni wapi au ofisi gani. Yaani inakuja halafu inakataa.
Haha acha masihara basi, wale wadada wa barbershop si uwa wanawasugua vizuri tu? Weka basi hata kichwa


Nimesumbuka kubonyeza play 😆
Aaah usijariiih ntatokea bhanaah babuuuh. UwiiiiiihAah wee bana maneno mingi halafu location hutokei..utakosa ile maneno ujue..
Jr![]()
Salama mkuu,maisha Yanakwenda.Mambo vipi mkuu
Tunashtuana mioyo mzee.Kuna sura nimewahi kuona Arusha ila sijui ni wapi au ofisi gani. Yaani inakuja halafu inakataa.
Maisha yanaenda poa kabisa mkuuSalama mkuu,maisha Yanakwenda.
Kwahiyo hiyo picha unaweka ama huweki?
Anapita mule muleTunashtuana mioyo mzee.
DepalKwahiyo hiyo picha unaweka ama huweki?
Kipindi hiki hatuna budi kuunga juhudiMaisha yanaenda poa kabisa mkuu
Nipo naunga juhudi
Depal
Kuwa na amani.Tunashtuana mioyo mzee.
Haina nomaKuwa na amani.
Maendeleo hayana chamaKipindi hiki hatuna budi kuunga juhudi
Mambo vipiAbee
Ye atulie tu ale matunda yake.