Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736


Zao gani hili? Ni wazi limelimwa kitaalamu sana na si ajabu walimaji wana mikono laiiini kama ya mtoto mdogo. Kama unabisha weka mkono wako hapa tuone

Anakusanifu tu. Si ajabu Ustaadh keshavuta kitu ndaniNikuulize wewe ustaadh






Poleeeeeeeh daddy
Kwa kweliAnakusanifu tu. Si ajabu Ustaadh keshavuta kitu ndani![]()
Zile umenunua jana ndo zenyewe sasa. Tuvae sare mwanangu J atalia semaWewe tena? Consider it done.
This time sare sare maua kama zile nilizonunua jana
Au unataka rangi tofauti?



Sijui kwa nini kaamua tumuone hivyo!!!Hahahaha, mkuu yy kaamua tumuone mdada acha twende nae sawa
Unaenda wapi we jamaa
MwanzaUnaenda wapi we jamaa
Mimi nimeona kidole na viatu tu..😎😎
Tuone umefikia, wapiMwanza
Obheja bhageshiShiminzaga mhola![]()