Woga wenu ni kutafitiwa chumba first date, sasa siulizi chumba hadi date ya kumi, utaanza kusema hivi unaishi wapi, natamani nije kupaona...teh teh! Kitachofata itv sote tunajua
kumbe na wewe mchokozi sio. Sikuwa na maana hiyo uliyodhani, nilimaanisha siku ya kwanza kuonana sio siku ya kunywa pombe, kulewa na ku-misbehave kwa mtu msiyejuana. Ikibidu soft drinks tu, basi hata "wali maharage" sio vibaya
Hahahaha, mimi nakutega tu, siulizi habari ya vyumba date ya kwanza hadi ya kumi. Hadi itafika siku wewe ndio utasema "hivi humu hamna vyumba kweli, najisikia uchovu".
Woga wenu ni kutafitiwa chumba first date, sasa siulizi chumba hadi date ya kumi, utaanza kusema hivi unaishi wapi, natamani nije kupaona...teh teh! Kitachofata itv sote tunajua