Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Akhsante sanaUkipata majani Yale fresh sasa ndo kiboko yake unatwanga unakunywa na maji ya moto ni nzuri mnooo!!!
Nitayatafuta dear



Nakunywa kwa siku Mara ngapi?na ninatumia kwa Muda gani?
Akhsante sanaUkipata majani Yale fresh sasa ndo kiboko yake unatwanga unakunywa na maji ya moto ni nzuri mnooo!!!



Kikubwa unenepeila nafirisika we acha tu





Asubuhi kabla hujala jioni before hujalala ni bonge la dawaAkhsante sana
Nitayatafuta dear
Nakunywa kwa siku Mara ngapu?na ninatumia kwa Muda gani?
Yaani ukianza kusoma ,unajikuta tu unasoma na kusoma.
In short agano jipya huwa linanisisimua sana,Ufunuo wa Yohana kidogo ndio huwapa naona Kama natoka kapa hivi.
Yaani kile kitabuSasa Ufunuo ni series..
Inabidi uivest time uende step by step..!ukiskip hata pharagraph moja unatoka nje ya reli.
Spare time for it.









Akhsante sanaAsubuhi kabla hujala jioni before hujalala ni bonge la dawa



Mhmhh nakusalimia kwa mbaliiiiAkhsante sana
Nitafanyia kazi..
Ubarikiwe Sana.
Akhsante sana
Nitafanyia kazi..
Ubarikiwe Sana.
Asali ninayo nimeiweka tu.Ameen ndani pia uwe na asali uwe unaramba ramba kidogo
Dingii sura inataka kuanguka hapo, aibu balaaNaona dingiii haendi bila boost![]()
Naomba unipige faini aisehh nimekubali mashtaka yangu nina kesi ya kujibuZa kunisusa kwanza
Mimi mzima
Basi sawa mpendwa, juu chini ngoja nijipige
Haitotokea
Dingii sura inataka kuanguka hapo, aibu balaa
Asali ninayo nimeiweka tu.
Kumbe ngoja nianze kuitumia usiku huu huu.
Wanatumaga na ya kutolea haoNaona dingiii haendi bila boost![]()
Nikufundishe?Wenzangu mnafanyaje mnalala usiku mzima 8hrs?