Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa Ufunuo ni series..

Inabidi uivest time uende step by step..!ukiskip hata pharagraph moja unatoka nje ya reli.

Spare time for it.
Yaani ukianza kusoma ,unajikuta tu unasoma na kusoma.
In short agano jipya huwa linanisisimua sana,Ufunuo wa Yohana kidogo ndio huwapa naona Kama natoka kapa hivi.
 
Duh
IMG-20200529-WA0058.jpg
 
Sasa Ufunuo ni series..

Inabidi uivest time uende step by step..!ukiskip hata pharagraph moja unatoka nje ya reli.

Spare time for it.
Yaani kile kitabu
Kumbe ndio maana huwa natoka mtupu kwa Sababu ya kuruka.

Inabidi nikipangie ratiba..
Nikianza kusoma nakutana tu na "kisha nikaona ...."
Naishia kufunua Ufunuo 3
Ile ya nabisha hodi
 
Back
Top Bottom