Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Jaribu halikumpata mtu isipokuwa lililo kawaida ya mwanadamuMaana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.


HahahaBaada ya kupitia self isolation ya covid -19, mwenyewe porini mwenye miti mingi hapa jirani yupo kama mita 200 for two weeks nimejifunza mengi sana, zaidi ni kuwa na muda wa peke yako, unajitibu mengi sana...muda huu miezi michache iliyopita ningekuwa bar probably na demu mpya mkalii ananichuna, nikishusha konyagi zangu pendwa, huku wife ananisubiri home...now five days working, 2 days relaxing, kwenye kijiji kimoja, nimepunguza konyagi, napiga wine huku nikijisomea vitabu vyangu...maisha yanaendaView attachment 1462972
nimeona unalalamikia hizi Ila zina uhusiano na unavyotune akili,Dogo nina balaa la ulcers hapa,kulala ni ishu
We lala tu uongeze kilo
Watakuwepo jukwaa la dini kuleKama kuna mchungaji humu atafungishe ndoa fasta!
Usijali mpendwa wanguNiombee mpendwa![]()
Watakuwepo jukwaa la dini kule
Wewe lala tu mimi huku ndio kumekucha. ByeeNdiyo. Ahsante, lala uote kitambi na ndevu
Hapana ni mguu hapo nimekunja nne huku nikihesabu baraka za wiki hiiHilo goti au?
Nadhani na Mimi tatizo lipo kwenye mawazo.nimeona unalalamikia hizi Ila zina uhusiano na unavyotune akili,
Niliumwa nikafika stage ya kuharisha Damu Ila nilipona kwa kutibiwa mawazo kwanza



Pole sanaDogo nina balaa la ulcers hapa,kulala ni ishu
We lala tu uongeze kilo
Lazima uje kwa wazazi kwanza uwasalimie.Waite basi watufungishie hapa!
Lazima uje kwa wazazi kwanza uwasalimie.
Haha me sijaenda kupima, ila jeans zimeshaanza kunibana 😂😂😂😂Ila pamoja na yote,nimeongeza kilo Moja![]()
Mpendwa your wish, my command...Hahaha
Kalaptop katamu
Nadhani na Mimi tatizo lipo kwenye mawazo.
Hapa katikati nimepitia kipindi kigumu..overthinking inanitesa Sana, matokeo yake ni haya nimeyapata.
Nitajitahidi nipunguze
Akhsante kwa ushuhuda![]()
Really? Then I'm ..... 😀Mpendwa your wish, my command...

Jaribu halikumpata mtu isipokuwa lililo kawaida ya mwanadamu
Ila Mungu ni mwaminifu
hatawaacha mjaribiwe ....
![]()