Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hunywi maji mpaka usubiri kwikwi? Duh! We ni noma
Ile chupa ya 1½ kwa siku me hainitoshi
12 litres hazimalizi week na hapo mchana nyumbani sipo
Pole, hapo hata sijui kitu

Nimeshaagiza, jiandaeHahahaha, waambie wakupe ,nakuja kulipa
Hahahaha, piga nayo selfie nioneNimeshaagiza, jiandae
Nitakuonesha ukija kulipaHahahaha, piga nayo selfie nione
Hahahaha, sawaNitakuonesha ukija kulipa
Karibu kwenye kula udongoNakula limao mimi sijui nina kijini uchachu, na mimba sina eti. Nikila ugali na dagaa lazima wale dagaa niwakamulie kipande cha limao, na hapo bado zile nazokula na chumvi basi naenjoy mwenyewe ila kumbe nipo kujiteketeza
Limao naacha kabisa
Milo nakula sana tu, asubuhi mwenyewe uwa nakula mara mbili.
Nuts na mtindi nakula sana, parachichi nitaongeza idadi
Maji nakunywa mno
Stress kubwa kubwa sina, siumwi pia


😋
Udongo me hapana, labda mchele
kwa tuliosoma Photography interpretation tatu B, location ya Dada na wewe wakati unapiga picha ni tata sana, tena zero distance (IMO)= In my Opinion.
58 - 60 kg is actually a good weight range especially kama urefu wako ni average.How can I gain weight?
Nimelose karibu kilo 7 kwa April na hii may, last time kupima ilikuwa march na ilibaki kidogo nivuke 60KG, na sina stress nzito nzito na kuhusu kula uwa nakula mpaka baby ananitania food monga 😝
Leo nimepima uzito mpaka nikataka kuukimbia kuwa sio wangu.
Nakula mno limao, yan nakula kama vile nakula chungwa kumbe ni limao. Je inaweza kuwa source ya kunipunguza uzito wangu?
Mnijibu, nimeamua kuandika hapa maana sina muda wa kuanzisha Uzi .
Numbisa carbamazepine 😉😉
HahahaaaHuyo dada kaja kuchukua vyombo au Hela Boss, Au na yeye kala?kwa tuliosoma Photography interpretation tatu B, location ya Dada na wewe wakati unapiga picha ni tata sana, tena zero distance (IMO)= In my Opinion.
Sent from my iPhone using JamiiForums

Kumbe wagonjwa tupo wengi ehhh???😬😬Mimi natia aibu
Utadhani mama mjamzito..yaani nitajikanyaga weee Hadi nitafute kipande Cha udongo
Michele sijawahi kutafuna ila malimao huwa nayaelewa Sana nikitia na chumvi Basi mambo Ni Moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Jana uliniishiaKumbe wagonjwa tupo wengi ehhh???
Juzi nilikuwa naulizwa niletewe nini kutoka Moshi nikawaambia udongo tu (ule unaouzwa gengeni sijawahi kuuelewa)...nothing else!![]()
#tbt from my short hair days View attachment 1455611








