Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nadhani shida ipo kwenye kunywa maji.
Sinywi maji kabisa..na lile tatizo langu sijui ndio linanikondesha Mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa na shida nyingine.
Lile tatizo lako sina hakika ila kuna zile dawa ukitumia mda mrefu side effects zake moja wapo ni kuongezeka uzito.

Angalia life style yako,kuna vitu vitakuwa haviko sawa
 
Wewe utakuwa na shida nyingine.
Lile tatizo lako sina hakika ila kuna zile dawa ukitumia mda mrefu side effects zake moja wapo ni kuongezeka uzito.

Angalia life style yako,kuna vitu vitakuwa haviko sawa
Nahisi Ni lile tatizo..
Sehemu nyingine zote niko sawa tu..labda stress za kitabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah niko poa namshukuru mungu,

Nilikumiss mno unajua!?

Picha nimetuma nyingi sana sasa sijui kwanini hamzioni!??

The only thing to fear is fear itself
😊😊najua sema niko karantini ndo mana
Nilikukumbuka sana jana nikasema leo naiba simu nikisalimu.
Nashukuru nimekuona.

Acha mambo yako basi,weka picha nione😊😊
 
Yaani imebidi tu nicheke kwakweli.
Unakulaje malinao kama unakula machungwa??
Una mimba ama?😂😂😂

Shida ni hizo limao zako unazokula.
Kwanza unatakiwa kujua kuwa limao liko na Vit.C na ile hali yake ya uchachu husababisha fats zivunjwevunjwe mwilini na sukari isihifadhiwe kwahiyo ina sababisha kupungua uzito.

Yaani hapa hata ule nini kwa idadi ya malimao unayokula yaani chakula kinaingia na kutoka.

Kama unataka kuongezeka,acha kula hizo limao zako.
Ongeza idadi ya milo unayokula.
Ongeza wingi wa chakula.
Kula maparachichi,nuts,ndizi,mtindi.
Asubuh kabla ya kula chochote anza na glass moja ya maji.
Punguza stress,kama unaumwa upate tiba.
Nakula limao mimi sijui nina kijini uchachu, na mimba sina eti. Nikila ugali na dagaa lazima wale dagaa niwakamulie kipande cha limao, na hapo bado zile nazokula na chumvi basi naenjoy mwenyewe ila kumbe nipo kujiteketeza 😂😂

Limao naacha kabisa
Milo nakula sana tu, asubuhi mwenyewe uwa nakula mara mbili.
Nuts na mtindi nakula sana, parachichi nitaongeza idadi
Maji nakunywa mno
Stress kubwa kubwa sina, siumwi pia
 
najua sema niko karantini ndo mana
Nilikukumbuka sana jana nikasema leo naiba simu nikisalimu.
Nashukuru nimekuona.

Acha mambo yako basi,weka picha nione
Pole na majukumu,Am glad umekuja sasa nipo na furaha na amani tele.

Karantini unatoka lini!??Ugonjwa si unaisha J pili!?
Ukikaa sana tutakufuata sasa huko,kuhusu picha nitazituma mpaka utaona kero cha msingi kuwa na subira

The only thing to fear is fear itself
 
Back
Top Bottom