Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,481
- 203,148
Aiii dada jitahidi kula
Me jana zilikuwa 52.3, alivyonitamkia roho ilifanya paa,akili ikasema hiki nini tena Mungu wangu 😂😂
Aiii dada jitahidi kula
Hebu ujitahidi uje hadi 58.Aiii dada jitahidi kula
Me jana zilikuwa 52.3, alivyonitamkia roho ilifanya paa,akili ikasema hiki nini tena Mungu wangu![]()
Niliona tu ujumbe usio na picha, yani wewe hufai kabisa![]()
. Swap! 
Duuuh!! Hivi mtu unapunguaje tu uzito na hauumwiHow can I gain weight?
Nimelose karibu kilo 7 kwa April na hii may, last time kupima ilikuwa march na ilibaki kidogo nivuke 60KG, na sina stress nzito nzito na kuhusu kula uwa nakula mpaka baby ananitania food monga![]()
Leo nimepima uzito mpaka nikataka kuukimbia kuwa sio wangu.
Nakula mno limao, yan nakula kama vile nakula chungwa kumbe ni limao. Je inaweza kuwa source ya kunipunguza uzito wangu?
Mnijibu, nimeamua kuandika hapa maana sina muda wa kuanzisha Uzi .
Numbisa carbamazepine![]()




Hii pia inafaa sana, tupia Picha dada Tuchat
Sent from my iPhone using JamiiForums




Duuuh!! Hivi mtu unapunguaje tu uzito na hauumwi
Mie nikipungua ni ninaumwa tena ninaumwa kweli kweli au nimeamua kujipunguza. Hivi hivi tu yaani ni mwili unasonga mbele kama injili![]()







Aiii dada jitahidi kula
Me jana zilikuwa 52.3, alivyonitamkia roho ilifanya paa,akili ikasema hiki nini tena Mungu wangu![]()







Mimi mwenyewe nilishtukauna shingapi nikuuzie nimeshakachoka
Sina hata sh Miauna shingapi nikuuzie nimeshakachoka
Hakuna mtoto mbaya,watoto wote duniani ni wazuri.
Wewe unakuwaga wapi lakini, yani kila nikiweka nakukosa!Nitumie.
Yah wote ni wazuriHakuna mtoto mbaya,watoto wote duniani ni wazuri.
Siwezi mkuuHivyo hivyo jitahidi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mashallah