Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakula limao mimi sijui nina kijini uchachu, na mimba sina eti. Nikila ugali na dagaa lazima wale dagaa niwakamulie kipande cha limao, na hapo bado zile nazokula na chumvi basi naenjoy mwenyewe ila kumbe nipo kujiteketeza 😂😂

Limao naacha kabisa
Milo nakula sana tu, asubuhi mwenyewe uwa nakula mara mbili.
Nuts na mtindi nakula sana, parachichi nitaongeza idadi
Maji nakunywa mno
Stress kubwa kubwa sina, siumwi pia
Acha kabisa hizo limao naamini utaanza kuona matokeo mazuri
 
Maji yanafanya mwili unawiri.
Sasa Mimi naweza pitisha siku sijakunywa hata glass1..nakunywa pale kwikwi ikinibana.

Nina nasal polyps(nyama za pua)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hunywi maji mpaka usubiri kwikwi? Duh! We ni noma 😀😀🙌
Ile chupa ya 1½ kwa siku me hainitoshi
12 litres hazimalizi week na hapo mchana nyumbani sipo

Pole, hapo hata sijui kitu
 
Maji yanaongeza kilo? Tatizo lipi tukupe tiba
Maji hayaongezi kilo.
Kuna nutritionist mmoja aliwahi nambia ukiamka asubuh kabla hujala chochote kunywa maji glass moja,hii husababisha kuandaa tumbo kupokea chakula.
Kama si maji kula kipande cha chungwa baada ya muda utaanza kuhisi njaa
 
Pole na majukumu,Am glad umekuja sasa nipo na furaha na amani tele.

Karantini unatoka lini!??Ugonjwa si unaisha J pili!?
Ukikaa sana tutakufuata sasa huko,kuhusu picha nitazituma mpaka utaona kero cha msingi kuwa na subira

The only thing to fear is fear itself
Yaani hata mimi sijui natoka lini huku.
Mambo yamekuwa mengi sana.

Asante sana🙏🙏

Nitakuwa hapa nikisubiri hizo picha😊😊

Happy to see you
Nitakutafuta
 
Maji hayaongezi kilo.
Kuna nutritionist mmoja aliwahi nambia ukiamka asubuh kabla hujala chochote kunywa maji glass moja,hii husababisha kuandaa tumbo kupokea chakula.
Kama si maji kula kipande cha chungwa baada ya muda utaanza kuhisi njaa
Hii nilikuwa nafanya zamani, nilifika glass 3 ila inaboa sana kususu kila dk
 
Not kama pipi, yan nikihisi pain yoyote ile nishameza panadol. Nilifika stage panadol ikawa haishtuki mwilini, ikabdi nijipe likizo na madawa.
Sahivi nimerudi sawa
Haya madawa ukiyaendekeza siyo mazuri kabisa.
Kuna kipindi na mimi nilikuwa na tabia hiyo,maumivu kidogo nameza dawa ila nashukuru siku hizi nimeacha hata nikumwa simezi dawa hadi nijione nimezidiwa
 
Breakfast with the legendary Chappelle's.

20200521_110637.jpg
 
Back
Top Bottom