Harakati tu za mtu mweusi my dear..
😂😂😂Yoga? Ya vumbi hiyo kaka... Hahahaa
Jr![]()
Acha utani ,mbona zipo nyingi SanaHarakati tu za mtu mweusi my dear..
Nilijua tu utasema hivi
Nimepitia uzi tangu nilipoishia sijaona picha zako ujue

Kaka acha tu.. Najinyima mno lakini havinyimiki
Jr![]()





Niombee pls nyama nisiache lakini kiriba tumbo kipungue
Hii dunia
Wengine wanahangaika kupunguza miili,
Wengine wanahangaika kuiongeza.
Ila boss kwa zile nyama unazokula kila siku huwezi kupungua wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani imebidi tu nicheke kwakweli.How can I gain weight?
Nimelose karibu kilo 7 kwa April na hii may, last time kupima ilikuwa march na ilibaki kidogo nivuke 60KG, na sina stress nzito nzito na kuhusu kula uwa nakula mpaka baby ananitania food monga 😝
Leo nimepima uzito mpaka nikataka kuukimbia kuwa sio wangu.
Nakula mno limao, yan nakula kama vile nakula chungwa kumbe ni limao. Je inaweza kuwa source ya kunipunguza uzito wangu?
Mnijibu, nimeamua kuandika hapa maana sina muda wa kuanzisha Uzi .
Numbisa carbamazepine 😉😉
Mbona sijaziona 😔Acha utani ,mbona zipo nyingi Sana
Weka Moja uibariki asubuhi yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niko hapa nasubiria ya kwako.😊Tuanze na ya Zoë halafu ifuate ya Saint Anne..
Ya kwako pia inahitajika pia
The only thing to fear is fear itself
Hahahaha, nyama choma,bia ,kitimoto mixer mchemsho asubuhi lzm ugeni ujeKaka acha tu.. Najinyima mno lakini havinyimiki
Jr![]()
Mambo yako SA😘😘
Ladies first my dear
Niombee pls nyama nisiache lakini kiriba tumbo kipungue
Jr![]()






Mimi nadhani shida ipo kwenye kunywa maji.Yaani imebidi tu nicheke kwakweli.
Unakulaje malinao kama unakula machungwa??
Una mimba ama?
Shida ni hizo limao zako unazokula.
Kwanza unatakiwa kujua kuwa limao liko na Vit.C na ile hali yake ya uchachu husababisha fats zivunjwevunjwe mwilini na sukari isihifadhiwe kwahiyo ina sababisha kupungua uzito.
Yaani hapa hata ule nini kwa idadi ya malimao unayokula yaani chakula kinaingia na kutoka.
Kama unataka kuongezeka,acha kula hizo limao zako.
Ongeza idadi ya milo unayokula.
Ongeza wingi wa chakula.
Kula maparachichi,nuts,ndizi,mtindi.
Asubuh kabla ya kula chochote anza na glass moja ya maji.
Punguza stress,kama unaumwa upate tiba.


Hahahaa your request is my command!
Nitakuombea
Na Mimi nifsnyie mambo kwa tunguli niongezeke japo kilo 6 nilizozipoteza
Niongeze bila kula sana
Sent using Jamii Forums mobile app
