Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

How can I gain weight?

Nimelose karibu kilo 7 kwa April na hii may, last time kupima ilikuwa march na ilibaki kidogo nivuke 60KG, na sina stress nzito nzito na kuhusu kula uwa nakula mpaka baby ananitania food monga 😝
Leo nimepima uzito mpaka nikataka kuukimbia kuwa sio wangu.

Nakula mno limao, yan nakula kama vile nakula chungwa kumbe ni limao. Je inaweza kuwa source ya kunipunguza uzito wangu?

Mnijibu, nimeamua kuandika hapa maana sina muda wa kuanzisha Uzi .

Numbisa carbamazepine 😉😉
Yaani imebidi tu nicheke kwakweli.
Unakulaje malinao kama unakula machungwa??
Una mimba ama?😂😂😂

Shida ni hizo limao zako unazokula.
Kwanza unatakiwa kujua kuwa limao liko na Vit.C na ile hali yake ya uchachu husababisha fats zivunjwevunjwe mwilini na sukari isihifadhiwe kwahiyo ina sababisha kupungua uzito.

Yaani hapa hata ule nini kwa idadi ya malimao unayokula yaani chakula kinaingia na kutoka.

Kama unataka kuongezeka,acha kula hizo limao zako.
Ongeza idadi ya milo unayokula.
Ongeza wingi wa chakula.
Kula maparachichi,nuts,ndizi,mtindi.
Asubuh kabla ya kula chochote anza na glass moja ya maji.
Punguza stress,kama unaumwa upate tiba.
 
Yaani imebidi tu nicheke kwakweli.
Unakulaje malinao kama unakula machungwa??
Una mimba ama?

Shida ni hizo limao zako unazokula.
Kwanza unatakiwa kujua kuwa limao liko na Vit.C na ile hali yake ya uchachu husababisha fats zivunjwevunjwe mwilini na sukari isihifadhiwe kwahiyo ina sababisha kupungua uzito.

Yaani hapa hata ule nini kwa idadi ya malimao unayokula yaani chakula kinaingia na kutoka.

Kama unataka kuongezeka,acha kula hizo limao zako.
Ongeza idadi ya milo unayokula.
Ongeza wingi wa chakula.
Kula maparachichi,nuts,ndizi,mtindi.
Asubuh kabla ya kula chochote anza na glass moja ya maji.
Punguza stress,kama unaumwa upate tiba.
Mimi nadhani shida ipo kwenye kunywa maji.
Sinywi maji kabisa..na lile tatizo langu sijui ndio linanikondesha Mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom