Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbwa tangu aning'ate Sina hamu naye tena..
Nilikuwa nampenda Sana.. alikuwa akiniona anafurahi,namlisha vizuri.
Siku moja wakati namlisha wacha aniparuze mkono[emoji1787][emoji1787]
Ni zamani sana..
Baadaye aliumwa akafa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masikini jamani, kalikufa.
Nakwambia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakufa ...alikaa Kama miezi hivi akapotea,sijui walimuiba paka wangu yule..
Ila ile siku Cha Moto alikiona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tangu siku hiyo huwa sishiki kitu Cha Moto bila mshikio.
Kuna siku nilishawahi mwaga mboga hivihivi.. Tena ilikuwa usiku[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah masikini paka wa watu, mwee we naye unaneng'eneka.
 
Hahaha
Me kama sufuria haina mshikio wallah siepui bila kitambaa..
Mama anasema mtoto gani wa kike wewe unaogopa moto 😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…