Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbwa tangu aning'ate Sina hamu naye tena..
Nilikuwa nampenda Sana.. alikuwa akiniona anafurahi,namlisha vizuri.
Siku moja wakati namlisha wacha aniparuze mkono

Ni zamani sana..
Baadaye aliumwa akafa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daah masikini paka wa watu, mwee we naye unaneng'eneka.
 
Hahaha
Me kama sufuria haina mshikio wallah siepui bila kitambaa..
Mama anasema mtoto gani wa kike wewe unaogopa moto 😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…