Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,409
Nimekuja kuona picha yako
@Saint Anne fanya kutubariki basi
Safi[emoji3526]Nimekuja kuona picha yako
Weka basi[emoji4][emoji4]
Leo niko poa sana nashukuru
Mambo ni vipi lakini?
Eeh nani alikutuma ucheze mbaliHehe haya rudisha hiyo picha
Hivi kaka sosho mata Kati ya Mimi na wewe ni Nani mchoyo?
In short huu mwaka ni mbaya .... Nimeona hold my hand" angalia screenshot[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndiyo hivyo mama imetokea jumapili, yaani hii corona imeleta bahati mbaya kwenye kila kitu.
[emoji16][emoji16] umemaanisha hold my hand ya nani
Haha pole mkuuKwa nini mnafutaga picha lakini? Hakuna kitu kinachoudhi kama mtu unakuja fulu fosi macho yamekutoka uone picha halafu unaambulia patupu. Aaaaarghhh !!!
Wewe mchoyo zaidi....mpe basi hata Sakayo niikute kwake!!Hivi kaka sosho mata Kati ya Mimi na wewe ni Nani mchoyo?
Tangu asubuhi nakuomba picha[emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi[emoji3526]
Happy birthday kwako dada mzuri carba
Mungu akufanikishe katika Mambo yote[emoji8]..najua unajua kama nakupenda Sana[emoji3590]
Naomba usindikizie akhsante na picha moja ya baraka nikaweke status WhatsApp hata Kama hutaona[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usidhani picha yako hatuihitaji pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijui hata kwanini nimecheka.
Yaani wewe ni kivuruge ujue.
Asante sana cha ubishi/king'ang'anizi wangu.
Nakupenda tu na uchizi wako.
#pichaujebaadae[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijui hata kwanini nimecheka.
Yaani wewe ni kivuruge ujue.
Asante sana cha ubishi/king'ang'anizi wangu.
Nakupenda tu na uchizi wako.
#pichaujebaadae[emoji4]
Daughter & father moments ,, awesome,, I wish to have a female bby aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtakatifu Anna amenishinda,nguvu nimezihamisha kwako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja Saint Anne aweke bila kusahau na wewe pia