Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Nimekuja kuona picha yako


@Saint Anne fanya kutubariki basi
SafiNimekuja kuona picha yako
Weka basi
Leo niko poa sana nashukuru
Mambo ni vipi lakini?

..najua unajua kama nakupenda Sana

Eeh nani alikutuma ucheze mbaliHehe haya rudisha hiyo picha
Hivi kaka sosho mata Kati ya Mimi na wewe ni Nani mchoyo?

In short huu mwaka ni mbaya .... Nimeona hold my hand" angalia screenshotndiyo hivyo mama imetokea jumapili, yaani hii corona imeleta bahati mbaya kwenye kila kitu.
umemaanisha hold my hand ya nani
Haha pole mkuuKwa nini mnafutaga picha lakini? Hakuna kitu kinachoudhi kama mtu unakuja fulu fosi macho yamekutoka uone picha halafu unaambulia patupu. Aaaaarghhh !!!
Wewe mchoyo zaidi....mpe basi hata Sakayo niikute kwake!!Hivi kaka sosho mata Kati ya Mimi na wewe ni Nani mchoyo?
Tangu asubuhi nakuomba picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi
Happy birthday kwako dada mzuri carba
Mungu akufanikishe katika Mambo yote..najua unajua kama nakupenda Sana
Naomba usindikizie akhsante na picha moja ya baraka nikaweke status WhatsApp hata Kama hutaona
Sent using Jamii Forums mobile app





sijui hata kwanini nimecheka.
Usidhani picha yako hatuihitaji piasijui hata kwanini nimecheka.
Yaani wewe ni kivuruge ujue.
Asante sana cha ubishi/king'ang'anizi wangu.
Nakupenda tu na uchizi wako.
#pichaujebaadae![]()
sijui hata kwanini nimecheka.
Yaani wewe ni kivuruge ujue.
Asante sana cha ubishi/king'ang'anizi wangu.
Nakupenda tu na uchizi wako.
#pichaujebaadae![]()





Daughter & father moments ,, awesome,, I wish to have a female bby aisee
Sent using Jamii Forums mobile app