Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekuja kuona picha yako
Weka basi

Leo niko poa sana nashukuru

Mambo ni vipi lakini?
Safi
Happy birthday kwako dada mzuri carba
Mungu akufanikishe katika Mambo yote..najua unajua kama nakupenda Sana
Naomba usindikizie akhsante na picha moja ya baraka nikaweke status WhatsApp hata Kama hutaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi
Happy birthday kwako dada mzuri carba
Mungu akufanikishe katika Mambo yote..najua unajua kama nakupenda Sana
Naomba usindikizie akhsante na picha moja ya baraka nikaweke status WhatsApp hata Kama hutaona

Sent using Jamii Forums mobile app

sijui hata kwanini nimecheka.
Yaani wewe ni kivuruge ujue.

Asante sana cha ubishi/king'ang'anizi wangu.
Nakupenda tu na uchizi wako.

#pichaujebaadae
 
Back
Top Bottom